Sasa wewe unataka kutuaminisha tuendelee kuwapa kura majambazi wa ccm? au unataka tufanyeje? kikubwa unachotakiwa kuelewa ni kuwa kitumike kihalali wala si kikundi cha watu wachache. ndio maana CDM inapigania huu usawa hatusemi tutakaa vijiweni tu bali maendeleo yatakuja kwa kufanya kazi tukisaidiana na serikali kupitia raslimali tulizonazo
Kama hii nchi watakao kuwa wanapata madaraka ni binadamu basi hakuta kuja kuwa na usawa leo hii mpeleke mke wako CHADEMA wakashndane na mke wa Slaa ktk post yoyote afu ndo utajua kama kutakuja kuwa na usawa au la