I told them it's because of stupidity but they couldn't accept itPoleni sana bandugu, duh! Lakini hii inadhibitisha ule utafiti wa IQ rankings, yaani raslimali zote mnazo ila mnatajwa kwenye mataifa maskini wa kutupwa, kwa kifupi haupewi vyote, lazima uchague moja kati ya ubongo na raslimali.
I told them it's because of stupidity but they couldn't accept it
Poor IQ scores + failed economic policies. There's only one logical conclusion, they're stupid.
You are 10th in terms of GDP.....the rankings considered GNI per capita ....Kwa ufupi a country with 58m people sharing 62b USD is poverty. Hiyo Somalia umetaja might have a small GDP but being shared by few people. Pangeni uzazi!!!!Yani tuwe wa 10 kati ya inchi 52 zenye uchumi mkubwa Africa...mbele ya inchi nyingine 42 then tuwemo kwenye list ya inchi maskini 25 duniani huku hizo 42 tulizozizidi Africa zikiwa hazimo?
Hata Somalia isiwemo kwenye list...
Anyway nlitaka kuuliza kupata vichekesho km hivi tunabonyeza no ngapi?
I'm sure you understand the difference between GDP and GNI per capita. It is what it is!! 62b being shared by 58m people is poverty!You have never attended the logical science classes, how the country that feeds you is poorest on earth. Again, how a 10[SUP]th [/SUP]wealthy country in the continent becomes such a poor.
GNi ya Tanzania ni $1080...Somalia $312...Does $312 look greater than $1080?You are 10th in terms of GDP.....the rankings considered GNI per capita ....Kwa ufupi a country with 58m people sharing 62b USD is poverty. Hiyo Somalia umetaja might have a small GDP but being shared by few people. Pangeni uzazi!!!!
You are 10th in terms of GDP.....the rankings considered GNI per capita ....Kwa ufupi a country with 58m people sharing 62b USD is poverty. Hiyo Somalia umetaja might have a small GDP but being shared by few people. Pangeni uzazi!!!!
A third of your 60m population haina umeme Yani 40m people wanatumia koroboi karne hii ya 21??? 😂😂Hahah
Wakenya kweli Hali ni Mbaya
yaani Tanzania Inawakeraa kweli kweli
na bado mjipange
Let's assume kua your figures are correct. 60m people and 1/3 hawana umemeA third of your 60m population haina umeme Yani 40m people wanatumia koroboi karne hii ya 21???
Yaani hii spana niliowapiga ndio inawachanganya hivi?
Kenya inanuka umasikini ukanda huu wote, hata Burundi na South Sudan wamewapita
View attachment 1556567View attachment 1556568
Zingatia, hii report ya Tanzania kuwa na 12m ni ya mwaka 2012,maana yake saivi ni million 5 tu huku Kenya masikini wa kutupwa ni million 24 maana yake wakenya ni masikini kuliko idadi yote ya wananchi wa Uganda 😅😅😅😅😅
Kweli? Sidhani kama hii ni kweli. Leta evidence kuwa mlikuwa top ten poorest countries. Ikiwa ni kweli nitawapa hongeraThis is remarkable improvement, a decade ago we were in top 10.
Hapa wanaangalia Gni per capita. Hawazingatii Gdp hapa. Kwenye Gdp mpo number 10 Africa lakini kwenye Gni per capita mpo number 24 kuanzia nyuma. Mnavuta mkia sana.Alafu unaoneka uweZo wako wa kuchambua vitu ni mdogo iweje nchi ya kumi kwa uchumi afrika iwe kati ya nchi masikini 50 duniani.ndo maana na sema wakenya IQ yenu ni ndogo sana alafu mnasapotiana ili kudhihirisha IQ yenu kuwa ni ndogo
Evidence unayo kuwa mlikuwa kumi bora kuanzia nyuma? Kama kweli basi hongera sanaMimi naona ni sawa kwasababu GDP ya $62B kwa pop ya watu 58M bado haitoshi...
Kikubwa nmeona improvement kubwa kipindi fulani tulikua kwenye kumi ya mwisho ...
Nafasi ya 24 ni mbali kidogo na kwa ukuaji wa uchumi tutakua sawa siku zijazo...Tunakubali madhaifu na tunayafanyia kazi
Tanzania hakuna ufisadi ni nchi nzuri sana ila cha kushangaza ni mbona Kuna umasikini hivi kwani hela zinakwenda wapi?Alisikika Kilaza mmoja tokea Kibera akisema
Lol!! Just accept 62b divided by 58m people ni umaskini hohehahe!!!! I dont need to research about any one or anything else vitu zingine ni common sense. If Kenya's GNI is almost twice Tanzania's and i know for sure Kenya is a poor country by global standards.......i can only imagine the level of poverty in TZGNi ya Tanzania ni $1080...Somalia $312...Does $312 look greater than $1080?
A simple google search ingekupa haya majibu...Usiwe Unaongea kwa kukurupuka ili mradi na ww uonekane umechangia ili hali umechangia matango pori tupu...kaa tuliza akili, do a little reseach then njoo.
Sasa uki divide 62B by 58m unapata ngapi km sio 1068?Lol!! Just accept 62b divided by 58m people ni umaskini hohehahe!!!! I dont need to research about any one or anything else vitu zingine ni common sense. If Kenya's GNI is almost twice Tanzania's and i know for sure Kenya is a poor country by global standards.......i can only imagine the level of poverty in TZ!!!
Boss whatever the answer is does not matter to me. 62B divided by 58m is poverty. Two things, either mpange uzazi ama muongeze GNI!!!! Hizo hekaya zingine zinaitwa denial. Kubali umaskini and work on it!!! Hiyo umbea ingine haisaidii chochote.Sasa uki divide 62B by 58m unapata ngapi km sio 1068?
Hiii ndo shida ya kujadili mambo na watu waliokimbia umande, simple math zinakutupa nje.
Tumia ht calculator ya Simu itakusaidia kuficha ukilaza wako.