James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,342
Yah Rama D. Shida alikuwaga na mapacha wale wa Maujanja supplies wakati mziki ulikuwa umeshikwa na Ruge wa cloudsYou smart... Unaujua mziki mzuri
Yah Rama D. Shida alikuwaga na mapacha wale wa Maujanja supplies wakati mziki ulikuwa umeshikwa na Ruge wa cloudsYou smart... Unaujua mziki mzuri
Hujalipwa ila umekuja kusifia kwakuwa hiyo album boss wako ndio anaisimamiaHapana sijalipwa niambie nani ambaye ana vocal kali nchi hii kuwai tokea zaidi ya Barnaba?
Banza stone, peter msechu(akiimba live), chtistian bella, linex, one six, rama dee, q jay, marlow, matonya, makamua na wengine kibaoo... perception!Hapana sijalipwa niambie nani ambaye ana vocal kali nchi hii kuwai tokea zaidi ya Barnaba?
😂😂 hapa naunga mkono, mzee kigogo anakalishwa na bwana mdogo.. em kwanza apumzike, nigga close 2 fif o sumh 😁TID? Wengi hamuelewi vocalist ni nani.