Wakuu, Binafsi sikubaliani na hizo statistics zinazotolewa kuhusiana na nchi maskini kwa sababu wasomi wetu wengi wamesoma nje ya nchi badala ya ndani..Tazama toka tupate Uhuru ni hesabu kubwa ya viongozi wetu ktk serikali na mashirika wamesoma nje ya UDSM...hivyo hesabu kamili haiwezi kupatikana kwa kugeza nchi ambazo hazikufuata mfumo kama wetu. Nchi ambazo tayari zilikuwa na University zaidi ya moja na zilitosheleza kwa kiwango fulani mahitaji ya ndani na wakaweza kuchukua wanafunzi toka nchi mbalimbali toka tukitawaliwa...
Waberoya,
I meant ktk dunia ya sayansi ya leo..Tz tupo mbele ktk machapisho ya kisayansi ukilingalisha na Kenya na Ug. Sasa nini hapo hakieleweke??
One of the reasons.. Tz invested ktk small but quality education..tofauti na kenya na ndo maana nikauliza..do we need qualitative au quantitative change??
Naona Kenya ni quantitative change..na sisi ndo tumeingia ktk hiyo direction..but we compromise quality of output!
Sasa umefika wakati unanichekesha!!!
Kama nakumbuka vizuri ulisema wewe ni mwalimu wa UDSM. Hivi kulazimisha watu ''kuelewa'' kumbe nyinyi walimu ndio mnaowafundisha wanafunzi wenu!!! Nakumbuka kuna wanafunzi walimkata mwenzao na chupa kwa sababu aliwaambia kuwa haungi mkono mgomo.
kweli hivi ndivyo mnavyopaswa kuwa wanazuoni wetu?
Na kwa ukaribu approach yako inafanana na ya mwanafunzi aliyesema ''...Tanzania haitakalika'', anaonekana kulazimisha kuwa anachotaka yeye ndio sahihi na lazima kitekelezwa immediately!!! Msiwafundishe vijana wa kitanzania kulazimisha mawazo, wafundisheni kujenga hoja zinazouzika.
Kuhusu swala la mikopo kutoka bank, ushauri ulioutoa ni mzuri, kwa mfano USA huo ndio utaratibu wanaoutumia. Hata hivyo hali tuliyo nayo ni kwamba bank zina vigezo vyake vya kutoa mikopo. Watanzania waliotmiza hivyo vigezo wanaomba mikopo bank hata hivi sasa. Anayengoja serikali ikamkopee au kumdhamini anapaswa kujua kuwa serikali kwa sasa inatumia utaratibu wa bodi ya mikopo. Utaratibu huu kama nilivyosema awali hauko perfect ndio maana unaboreshwa mara kwa mara. Inaweza ikafika wakati serikali ikaanza utaratibu wa kuwadhamini wananchi wakakope bank, lakini tusitegemee serikali ifanye kila jambo kwa wakati mmoja.
Mkandara please !
Idadi ya wanafunzi wa Kenya waliosoma ama wanaosoma nje ni mara kumi ya idadi ya Watanzania sijui hapo utasema nini. Ukweli ni kuwa sisi ni vilaza what ever excuse we may have. Wakenya wana take opportunity ya kila nafasi inayopatikana tofauti na sisi ambao hata tunapopata scholarships za bure tunazifungia makabatini. Hatuna tu umasikini wa mali, tuna umasikini mbaya wa mawazo, period kama tunavyoshuhudia kwenye post ifuatayo.
Hivi ndivyo tulivyo na hii post ni position waliyo nayo watanzania wengi. Tuna maelezo mepesi ya kutetea hali yetu duni. Eti tunajali quality education ndiyo maana idadi ya graduates wa Tanzania ni asilimia kumi tu ya wale wa Kenya - my foot !! How hollow an argument and how low can we get. Samahani kwa lugha kama hii, lakini misimamo kama hiyo ndiyo inanifanya nihamaki, sorry.
No, nasema hivyo kwani mkuu, mawazo yakko tangu ulipoanza mpaka sasa hayaonyeshi kama unawafahamu watanzania, hivyo inabidi nitumie tecknic ya kuanza kueleweshana kwa mifano halisi, lakini siyo kukulazimisha kwa maana ya kutumia nguvu, -hiyo ni lugha ya picha tu mkuu. Ama sivyo ingenilazimu nihamishe ubongo wako nikupe wa mag, yoyo au wengine.
Maana yangu ni kuwa unaangalia upande mmoja tu, sioni ukitoa point zxa kuisaidia serikali kuwa watekeleze hili swala bila matatizo. sijaona point yeyote notable toka kwako, ambayo naweza kusimama sehemeu nikasema niwasaidie watz wenzangu, nimeona point za TV na tuition. ile ni lugha ya picha usijali.
Tusaidie wewe unayejua nini kifanyike kuongeza idadi ya wasomi??? katika dunia hii ya ushindani, by the way hujajibu bado umesoma chuo gani mkuu hapa Tz mkuu! nisije nikawa naongea na mtu ambaye secondari kasoma marekani, degree kachukua ulaya, kazi anafanya Tanzania!
Katika mjadala huu nimerudia mara kadhaa point zangu.
2. Wanafunzi waachane na tabia ya kugoma kipuuzi. Swala la kila mwanafunzi kukopeshwa asilimia 100 halipo katika karne hii.
Katika mjadala huu nimerudia mara kadhaa point zangu.
1. Serikali iongeze kasi ya kuboresha mfumo wa utoaji mikopo ili kuainisha wale wanaostahili kusadiwa na viwango wanavyostahili.
2. Wanafunzi waachane na tabia ya kugoma kipuuzi. Swala la kila mwanafunzi kukopeshwa asilimia 100 halipo katika karne hii.
If there was ever a time when poor Tanzania needed to invest in education, it is right now even if it means kuwakopesha wanafunzi wote 100%. Dont bury your head in the sand ZeMarcopolo unless unafaidika na hizo hela ambazo hutaki wanafunzi wakopeshwe. Katika karne hii ya 21 kuendelea kuvumilia mipango ya kipuuzi ambayo haileti tija ni ulimbukeni usio na utetezi.
Nimepitia post zako zote kwenye hii mada na nimegundua unavyoshindwa kuelewa kuwa ni jukumu la serikali kuwapa elimu vijana wetu na umuhimu wa wao kupata hiyo elimu. Hivi unasukumwa na nini - ni chuki yako kwa watoto wa wakulima kupata elimu ama kuna zaidi.
Nakumbuka miaka ya nyuma watu kama wewe walizagaa serikalini na hasa wizara ya elimu. Serikali ilikuwa inaweza kupokea schorlaships kutoka taasisi na nchi mbali mbali lakini maofisa wakazifungia makabatini eti vijana hawapo.
Je, inawezekana tuna watu wana hofu kwa vijana wasomi serikalini ?
Mfano mzuri ni huu -kuna wakati India ilikuwa inatoa schorlaships karibu kwa vijana wa kitanzania 10 kila mwaka lakini waliokuwa wanapewa ni watatu ama wanne. Je ni wizu, chuki ama upendeleo zilizokuwa zinawatuma kufanya hivyo - mimi nadhani walitawaliwa zaidi na ujinga.
Gharama ambayo serikali itaingia kusomesha vijana wake leo si chochote mbele ya faida ya investment ya namna hiyo. Ni ufinyu wa mawazo kuogopa hizo gharama halafu pesa zenyewe zikaishia mifukoni mwa mafisadi. Huo ndio ukweli na nashawishika kuamini kuwa ndicho hasa kinakutuma wewe kutetea.
Maendeleo bila elimu - wapi na wapi.
MzalendoHalisi,
..unasema graduates wetu ni bora kuliko wale wa Kenya lakini inapofika kwenye masuala ya ajira wakenya wanatupiga bao!!
..there are some serious problems in our education system that need to addresed. we can not keep execusing ourself that we put more emphasis on the quality than quantity of the graduates.
..nimechukulia madai yako kwamba kwasababu waalimu wetu wa UDSM wana-publish kuliko wenzao walioko Kenya, basi tunapaswa ku-conclude kwamba UDSM ina waalimu bora/vipanga kuliko wenzetu wa Kenya. sasa kwanini graduates wa UDSM wanafanya vibaya in the job market wanaposhindanishwa na wenzao wa Kenya ambao wamefundishwa na waalimu vilaza?
..nadhani vyuo vyetu vya elimu ya juu vinapaswa kujichunguza kuanzia mitaala yake, mbinu za ufundishaji, upatikanaji wa vifaa etc etc. inaelekea kwamba quality ya graduates wetu imeshuka as it is evidenced in the job market kulinganisha na ya washindani wetu toka nchi jirani.
If there was ever a time when poor Tanzania needed to invest in education, it is right now even if it means kuwakopesha wanafunzi wote 100%. Dont bury your head in the sand ZeMarcopolo unless unafaidika na hizo hela ambazo hutaki wanafunzi wakopeshwe. Katika karne hii ya 21 kuendelea kuvumilia mipango ya kipuuzi ambayo haileti tija ni ulimbukeni usio na utetezi.
Nimepitia post zako zote kwenye hii mada na nimegundua unavyoshindwa kuelewa kuwa ni jukumu la serikali kuwapa elimu vijana wetu na umuhimu wa wao kupata hiyo elimu. Hivi unasukumwa na nini - ni chuki yako kwa watoto wa wakulima kupata elimu ama kuna zaidi.
Nakumbuka miaka ya nyuma watu kama wewe walizagaa serikalini na hasa wizara ya elimu. Serikali ilikuwa inaweza kupokea schorlaships kutoka taasisi na nchi mbali mbali lakini maofisa wakazifungia makabatini eti vijana hawapo.
Je, inawezekana tuna watu wana hofu kwa vijana wasomi serikalini ?
Mfano mzuri ni huu -kuna wakati India ilikuwa inatoa schorlaships karibu kwa vijana wa kitanzania 10 kila mwaka lakini waliokuwa wanapewa ni watatu ama wanne. Je ni wizu, chuki ama upendeleo zilizokuwa zinawatuma kufanya hivyo - mimi nadhani walitawaliwa zaidi na ujinga.
Gharama ambayo serikali itaingia kusomesha vijana wake leo si chochote mbele ya faida ya investment ya namna hiyo. Ni ufinyu wa mawazo kuogopa hizo gharama halafu pesa zenyewe zikaishia mifukoni mwa mafisadi. Huo ndio ukweli na nashawishika kuamini kuwa ndicho hasa kinakutuma wewe kutetea.
Maendeleo bila elimu - wapi na wapi.
ZeMarcopolo kwa hiyo unakubali part time bongo ngumu??
Na hoja ya tuition hayana msingi wowote?
Suggestion yako ni ipi kwa wanafunzi wasiokuwa na ada na hela ya matumizi??
Binti akiwa amevaa ushungi, mtoto mdogo amefaulu kutoka shule moja maarufi ya special school, akija ukweli akiwa anatoa machozi! alisema anasubiri wapewe mikopo na serikali, katika ule mkopo (posho ya chakula)atakaopewa ndio atakayokata alipe asilimia 40 anayodaiwa! mimi ni mtu mzima, na ndoa yangu changa, nilimwacha yule binti pale na kwenda chooni kutoa machozi kidogo. nikamuuliza sasa utakula nini? akasema sijui, kwao morogoro, dar hana ndugu, ila kuna watu anatoka nao kijiji kimoja, labda atakuwa akienda kwa katika nyakati za shida.
Nilimsikiliza wa pili,wa tatu, wa nne, mpaka wote 20. Moyo wangu ulijaa simanzi. hadithi kama hizi zipo nyingi na wengi wanazifahamu kama umekuwa karibu japo kujua wanafunzi hawa wanatoka wapi. uzuri ni kuwa waliwaruhusu waingie madarasani! kwenye uongozi huu, huu!!!
Kwa mtindo huu, tukikupeleka muhimbili casuality utakaa masaa mawili tu then utaanza harakati za kutaka serikali ilipie asilimia 100 ya gharama za matibabu ya wagonjwa wote!! Hivi unadhani wanafunzi kama hao Marekani hawapo? Unadhani kwa nini wanafunzi wa Marekani hawasemi nchi yao haitakalika iwapo hawatapewa mahitaji yao kwa asilimia 100?
Nyinyi UDASA hicho chuo mnakiharibu kwa ajili ya siasa mnazokumbatia.
MKuu umeshaambiwa tuition haifai na haiwezekani unless uchague moja ule discontinue au uache kufundisha hizo tuition.....FYI mimi mfano nimemaliza KLF nitafundisha nini tuition kijana?? jua kwamba tuition zenye wanafunzi wengi ni zile za masomo ya sayansi.....Hoja ya tuition haiwezi kukosa msingi. Kufundisha tuition ni mojawapo ya njia nyingi ambazo mwanafunzi wa chuo kikuu anaweza kujiajiri. Swala la tuition ni mfano tu, sasa msiamue kuchukulia kuwa tuition ndio njia pekee.
The dude hajasoma chuo chochote tz..anapata hizi hadithi potofu kwa marafiki zake ambao naweza kuwaita mafisadi(sorry).....Asante mkuu, bado hujanijibu umesoma chuo gani Tz?? ni mara ya nne sasa nauliza , maana unaonekana umemaliza form six, tell me where, when, then from there. unieleze kama unalipa deni, na wanakukata sh. ngapi?
Mkuu lol! again unafananisha system ya ma USA na Bongo.....nikuulize kinachooombwa naw anafunzi nini?? ni mkopo au ufadhili?Unadhani kwa nini wanafunzi wa Marekani hawasemi nchi yao haitakalika iwapo hawatapewa mahitaji yao kwa asilimia 100?
Sober said:Mkuu, mimi siamini wakenya kutupiga bao kwenye job market maanayake ni kuwa wakenya wako better trained au wana better skills kuliko graduates wetu.
Sababu kuu ni kuwa wenzetu wamekuzwa kwenye Capitalist mentality, ya "you have to sell yourself", wakati watanzania tuna ile tabia ya kuogopa kujiuza kwa kuogopa kuonekana arrogant au mpenda sifa(wengine husema kujishaua).... Multinational recruiting companies wamejifunza hii the hard way pale walipokua wanaona U.S graduates always did much better kwenye interviews kuliko Far east groomed graduates, hata kama academically vyeti vya wachina/wajapan walionekana more superior candidates. Sababu ni culture yao haiwafanyi wajikuzekuze kama americans ingawa ni very competent. Pale walipopewa nafasi walikua wanaperform kwelikweli. Na sasa hivi haya makampuni yameshastukia janja ya graduates wamarekani na wameweka different standards za kuwa asses wale wa far east.
Tukirudi kwetu, bado waajiri wengi(hasa wageni) wanaendekeza kasumba ya fluency ya language ya kiingereza na sio actual technical know how. Halafu Kuna hali ya kuona ukimuweka mkenya au foreigner kwenye kampuni yako, itaonekana more sophisticated.Na hii inatokana vilevile na attitudes za maofisa uajiri watanzania "kubabaika".
Trust me, nimefanya kazi na wakenya na waganda kwa miaka kadhaa siku za nyuma. HAWANA anything cha ajabu kulinganisha na graduates wetu, tena wengine ni watu wa kufojifoji na plagiarism kwelikweli when it comes to developing written materials. Lakini utakuta ndio boss!!!... My foot.
Recently nimetokea kuwa kwenye interviewing panels mbalimbali. Ha huko ndio nilipokuja kuamini kuwa watanzania tuna tatizo la kujisell. Kijana competent lakini hasemi kitu anachokijua mpaka umchokonoe sana, mpaka inaboa. Sasa mtu kama huyu akipambanishwa na mtu aliye rehearse jinsi ya "kujiuza" all night. Obviously utamuona mkenya anafaa, lakini sio kwenye actual ujuzi. Halafu akimask na fluent english hapo ndio kabisaaa wabongo tunamuabudu.
Interview za bongo nyingi haziko sophisticated enough kuchanganua pumba na mchele...utakuta position kubwa, lakini interview ya maana moja au mbili ambazo zote zinafanana in content...tell us about yourself, what do you bring, your biggest challenge so far...Just shitty stuff zinazompa advantage mtu wa rhetoric zaidi.
The rest nakubaliana nawewe kuwa in general tuko nyuma sana katika idadi ya graduates.
MKuu umeshaambiwa tuition haifai na haiwezekani unless uchague moja ule discontinue au uache kufundisha hizo tuition.....FYI mimi mfano nimemaliza KLF nitafundisha nini tuition kijana?? jua kwamba tuition zenye wanafunzi wengi ni zile za masomo ya sayansi.....
Mkuu usiteteee tu kwa kuwa unakula "mayai na sambusa" majuu hujui kinachotokea.....
The dude hajasoma chuo chochote tz..anapata hizi hadithi potofu kwa marafiki zake ambao naweza kuwaita mafisadi(sorry).....
Mtu yoyote aliewahi kusoma tz anajua tunachokiongelea....... sasa hivi suala la kutembea Mabibo to main kampasi ni kitu cha kawaida....
MKuu waberoya unajua kuna mambo ambayo watu wengine hawajui kinachoondelea wakisikia toka mjengoni Dodoma wanajua shwaaari