Mgosi original
Member
- Feb 13, 2013
- 98
- 15
Ukweli Tanzania si nchi salama tena sema idadi ya wanauwawa kwa wakati mmoja sio wengi. Mauaj ya kila kona mateso ya waandishi wa habari, ujambazi, ujangili ndani ya hifadhi. Viongozi kutumia viungo vya albino kutawala inanifanya nseme Tanzania si salama.