ukurupukaji iko kwenye dna ya wasukuma? sasa kuwazuia kumetusaidia nn?Tanga Regional Commissioner Martin Shigela purpoted that Tanzania was not informed of the visit by the Kenyan delegation,
ukurupukaji iko kwenye dna ya wasukuma? sasa kuwazuia kumetusaidia nn?
Kumbuka JPM anaenda kenya na anapanda hadi kwenye majukwaa ya kisiasa (kampeni za ODM) na hatujawahi kusikia kanyang'anywa passport! Kuna kuingiliwa sebuleni, jikoni, msalani, au chumbani zaidi ya hivyo?Imetujengea heshima yetu. Huwezi kuvumilia watu baki kuingia sebuleni, jikoni, msalani, hadi chumbani kwako bila kukaribishwa. Hawa walikuwa wanatujaribu kuona kama sisi ni wakali kiasi gani. Wangefanikiwa na hili basi wangetutia vidole machoni siku za usoni.
Waswahili wanasema "Akumulikae mchana, Usiku atakuchoma." Hawa walipaswa kupewa somo hili kavu kavu kipindi hiki.
Safi sana.
Haya manyang'au yalizoea ule utawala wa kula futari ikulu sasa yamesahau hapa ni kazi tuuWalifata nini port ya Tanga hao manyang'au?
Hivi wewe ni Mtanzania, inaonekana hata issue huijui unadakia makabila ya watu, hapa tuko kitaifa zaidi sio kichama. wa wapi weweukurupukaji iko kwenye dna ya wasukuma? sasa kuwazuia kumetusaidia nn?
Kumbuka JPM anaenda kenya na anapanda hadi kwenye majukwaa ya kisiasa (kampeni za ODM) na hatujawahi kusikia kanyang'anywa passport! Kuna kuingiliwa sebuleni, jikoni, msalani, au chumbani zaidi ya hivyo?
trash ..Hivi wewe ni Mtanzania, inaonekana hata issue huijui unadakia makabila ya watu, hapa tuko kitaifa zaidi sio kichama. wa wapi wewe
nonsenseKama sio Mtz nitakuelewa. Unatia aibu
trash ..
sawa mkuu, na wangu vile vile umefikaUjumbe umefika Mkuu
Kama alikwenda huko ni kuwa alialikwa. Kumbuka Magufuli na Raila ni marafiki.Kumbuka JPM anaenda kenya na anapanda hadi kwenye majukwaa ya kisiasa (kampeni za ODM) na hatujawahi kusikia kanyang'anywa passport! Kuna kuingiliwa sebuleni, jikoni, msalani, au chumbani zaidi ya hivyo?
Weye kweli pumbafu.lazima utakuwa nyag'au shenzitaipu.Hivi hujui kinacho ongelewa hapa? Kama umekurupuka jaribu kusoma UZI zilizopita kuhusu Huu mgogoro wa OIL PIPE LINE.ukurupukaji iko kwenye dna ya wasukuma? sasa kuwazuia kumetusaidia nn?
Haya manyang'au yalizoea ule utawala wa kula futari ikulu sasa yamesahau hapa ni kazi tuu