Anaye sign ni Rais, na Rais bado hajasign sasa hapo lawama kuelekezwa kwake si upotoshwaji wa kesi nzima?
TANZANIA DAIMa ni GAZETI mrengo wa KIDINI serikali Ifute UCHAFU huu.
mkada Are you sure Rais Kikwete bado hajasaini sheria ya tozo la simu?
Kama bado hajasaini inakuwaje serikali ilishatangaza kutumika kwa sheria hii kuanzia Julai Mosi?
Kwanini tayari watanzania wameshaanza kula maumivu kwa sheria hii?
Bunge lililopitisha ni Mibunge ya ccm kwa kura za ndiyoooooooo!!!!
Sasa hapo unaongea upumbavu gani wewe?
Chanzo ni ccm na ccm hii kodi itawagharimu
Ukisoma Taarifa ya gazeti la leo la Tanzania Daima la kichwa cha habari Simu kuingoa CCM, ni wazi utajua kuwa sasa hili gazeti liko obsessed na chuki na hasira zinazopelekea kutuchanganya sisi wasomaji wake.Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwakilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.
This is unprofessional guys,,,inakuwa shida sana kulisoma hili gazeti kwa sasa bila kuchanganya na akili zako.Mbona Mwananchi wanaandika habari Objectively na bado linapendwa tu.Tanzania Daima you need to stop barking at the wrong trees for issues which are very serious. Tanzaia Daima wanataka kututufifisha kumjua the real enemy,,na hii itasababisha kushindwa kwa hii vita.The president should be involved in appeal but not in the war. Shida ni Bunge na sio Rais. Professionalism is not taking things personal.
Inavyoonekana mkada bado ni mchanga sana kuhusu siasa na mfumo wa uendeshaji wa nchi yetu, hususani Bunge na serikali.
*Kwa kifupi sana. Mfumo wa uendeshaji wa serikali yetu chini ya CCM Unaanzia kwenye Chama ambapo kwa sasa Kikwete ndio mwenyekiti wake, kisha jambo linaletwa ndani ya Baraza la mawaziri na hapo Kikwete ndio mwenyekiti wake, kisha linaletwa bungeni kupitia waziri husika na hapo Waziri mkuu, mawaziri wote na wabunge wote wa CCM wanatakiwa kuliunga mkono kwa hali na mali na mwisho wa siku Rais anatia saini kuwa sheria rasmi.
Tukirudi kwenye hili suala la tozo la simu, Serikali kupitia kwa waziri wa Fedha Willium Mgimwa ilileta bungeni likapitishwa na wabunge wa CCM KWA ASILIMIA 100 na mwisho likatiwa saini na Rais Kikwete kuwa sheria rasmi ili kuweza kutumika.
Ukisoma Taarifa ya gazeti la leo la Tanzania Daima la kichwa cha habari Simu kuing¡¯oa CCM, ni wazi utajua kuwa sasa hili gazeti liko obsessed na chuki na hasira zinazopelekea kutuchanganya sisi wasomaji wake.Ni dhahiri kuwa tozo la kodi la kila mwezi lilipitishwa na bunge,,na hii ina maana lawama zote lazima ziende kwa Bunge na Spika akiwemo...lakini hili la Tanzania Daima la kuandika kuwakilichofanyika kilipata baraka za viongozi wa chama hicho, akiwamo Rais Jakaya Kikwete, nafikiri ni kuleta confusion ambayo ni very unnecessary.Tanzania Daima wanachojaribu kufanya hapa ni kuconnect dots ambazo ziko too remote kwani tuna jua kuwa Bunge lina uongozi wake unaojitegemea, Rais hakuwa bungeni na pia hajaridhia maamuzi ya bunge ya tozo la kodi kuwa sheria.Sasa Rais hapo anaingiaje?Bunge si mhimili unaojitegemea, sasa kwa nn makosa ya bunge yawe makosa ya Rais.
This is unprofessional guys,,,inakuwa shida sana kulisoma hili gazeti kwa sasa bila kuchanganya na akili zako.Mbona Mwananchi wanaandika habari Objectively na bado linapendwa tu.Tanzania Daima you need to stop barking at the wrong trees for issues which are very serious. Tanzaia Daima wanataka kututufifisha kumjua the real enemy,,na hii itasababisha kushindwa kwa hii vita.The president should be involved in appeal but not in the war. Shida ni Bunge na sio Rais. Professionalism is not taking things personal.
Mkuu hapo siyo kweli tanzania daima ni gazeti la chadema kwa sababu mmiliki wa gazeti hili ni mbowe sasa unategemea nini hapo.Gazeti Tanzania Daima ni gazeti huru,haijalishi ni ccm au chadm habari zote zinaandikwa bila upendeleo...kamwe msibadilike km huyo mwenzenu..wamebakia kuandika "habari kwa ufupi,sijui kanda ya kati...nk
Anaye sign ni Rais, na Rais bado hajasign sasa hapo lawama kuelekezwa kwake si upotoshwaji wa kesi nzima?
Mbona ckusikia hata mbunge mmoja wa upinzani akipinga hii kodi kwenye kujadili ule mswaada wa fedha uliokuja na haya mapendekezo tatizo hapa sio wabunge wa ccm wabunge wote ni tatizo wao wanatumia bunge kama ni platform ya kujenga vyama nyaounatuona sisi wajinga sana eeh? hivi nani haoni ushabiki wa kipumbavu unaofanywa na wabunge wapumbavu wa ccm kupitisha mambo ya kipumbavu kwa maagizo ya serikali ya kipumbavu ya ccm?