Tanzania Daima: Membe aonja joto la jiwe...

Tanzania Daima: Membe aonja joto la jiwe...

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,504
Reaction score
911,249
Katika karatasi za ndani za gazeti la Tanzania Daima la leo Waziri wa Mambo ya nje imeripotiwa kuwa alionja joto la jiwe...................

Hii sasa itakuwa ni mara ya pili kwa Mheshimiwa huyu ambaye ni kipenzi cha kutetea utawala wa kifisadi wa JK na CCM yake kuwekwa kiti moto.......kuanzia kule Mwanza na maaskofu waliposambaratisha hoja zake za kulea uozo ndani ya CCM...............Hivi ni lini Membe atazisoma alama za wakati zisemazo.............."Tanzania bila ya CCM yawezekana?"
 
Joto lipi tena! Tuhabarishe. Yule mzee ana kiherehere sana!
 
Back
Top Bottom