Rugemeleza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2009
- 668
- 136
Kwa muda wa siku mbili hawa jamaa wa Tanzania Daima hawaleoshi gazeti katika mtandao. Je kuna mtu anaweza kufuatilia kuona kasoro kubwa inarekebishwa ili tuweze kupata habari zao kuhusu uchaguzi.
Wamefuliaaaaaaaaaaaaaaaaaa,unafikiri kuwa na kijalida cha chama mchezo!