Tanzania Daima laweza kufungiwa!!!!!!!

Tanzania Daima laweza kufungiwa!!!!!!!

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2009
Posts
6,157
Reaction score
4,454
Wadau hizi ni habari ambazo napata taabu sana kuzithibitisha lakini zaweza kuwa hadharani mda wowote kuanzia sasa, kuna mdau wangu aliye ndani ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamduni na Michezo, katustua kwamba kuna kikao cha dharula kimekaliwa pale wizarani kila mjumbe aliye kikaoni ameshika Gazeti la Tanzania Daima, inajadiliwa kama wanaweza kulitafutia sababu na kulifungia kwa sababu zozote zile mojawapo ikiwa ni kwamba limetoa namba za simu na mienendo ya mawasiliano ya watu hii leo kwa kubandika walaka wa Malando na kuzitoa namba za simu kwa ukamilifu bila kuwa na idhini ya wahusika hasa ukichukulia mawasiliano ya mtu ni Faragha.

Naombeni mnaojua miiko ya uandishi wa habari mnifumbue kama waraka wa Mabele uliotolewa na Tanzania Daima ni makosa ya Magazeti au Mabele.

 
Wadau hizi ni habari ambazo napata taabu sana kuzithibitisha lakini zaweza kuwa hadharani mda wowote kuanzia sasa, kuna mdau wangu aliye ndani ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamduni na Michezo, katustua kwamba kuna kikao cha dharula kimekaliwa pale wizarani kila mjumbe aliye kikaoni ameshika Gazeti la Tanzania Daima, inajadiliwa kama wanaweza kulitafutia sababu na kulifungia kwa sababu zozote zile mojawapo ikiwa ni kwamba limetoa namba za simu na mienendo ya mawasiliano ya watu hii leo kwa kubandika walaka wa Malando na kuzitoa namba za simu kwa ukamilifu bila kuwa na idhini ya wahusika hasa ukichukulia mawasiliano ya mtu ni Faragha.

Naombeni mnaojua miiko ya uandishi wa habari mnifumbue kama waraka wa Mabele uliotolewa na Tanzania Daima ni makosa ya Magazeti au Mabele.

Utawala dharimu huwa unawaza kufungia tuuu... Wayafungie yote libaki uhuru, habari Leo na Mzalenda

 
Naombeni mnaojua miiko ya uandishi wa habari mnifumbue kama waraka wa Mabele uliotolewa na Tanzania Daima ni makosa ya Magazeti au Mabele.[/FONT]
miiko ya uandishi tanzania ni kuwafeva watawala tu na ndio maana ile sheria ya mwaka 1972(?) hawataki waiguse bila kujua kuwa mawazo ya watu ndio yanajenga na kuendeleza nchi na si mawazo ya viongozi

 
Hili la kuanika namba za watu hata mimi limenitia hofu,kwani hata ilipokuja hoja hiyo ya mh Marando hapa jf ma mods walijitahidi kuzificha kidogo,sijui ikiunganishwa na siasa za maji taka hapo ccm wanaweza kutumia mwanya huu kuwaziba chadema midomo,ccm wanafikiria pa kuchomokea,au ndio walionunua magazeti yote kama mdau mmoja alivyotuhabarisha?
 
Likifungiwa hakuna atakaye shangaa maana sheria za magazeti za nchi hii ni tofauti na nchi nyingine duniani.
 
Mtafungia Gazeti lakini si Hisia za Watanzania, na hilo litakuwa ndilo kosa kubwa kwa CCM. Zamani wakati wa Propaganda tulijua ni kweli siyo leo utandawazi mliouleta umesaidia sana kutuweka wazi na huru.
 
Ndio maana leo hawakulala kulinunua gazeti!waifungie kampuni ya simu sio gazeti
 
Hili la kuanika namba za watu hata mimi limenitia hofu,kwani hata ilipokuja hoja hiyo ya mh Marando hapa jf ma mods walijitahidi kuzificha kidogo,sijui ikiunganishwa na siasa za maji taka hapo ccm wanaweza kutumia mwanya huu kuwaziba chadema midomo,ccm wanafikiria pa kuchomokea,au ndio walionunua magazeti yote kama mdau mmoja alivyotuhabarisha?

Chonde chonde,Tanznia kwanza ! ubinafsi mbali,tujifunze Kenya ,wamekwishaona mbali,maendeleo hayaji kwa staili hii.Tunashindania nini ,nchi ni yetu sote,CCM inaongoza kwa mujibu wa katiba,sio vinginevyo,tuwape support watimize wajibu wao,kama kuna kasoro ,zipo taratibu za kurekebishana .2015 atakayepeperusha bendera ya Taifa pia apewe support bila ubaguzi wa aina yoyote,tuvumiliane.
 
kazi ya MCT- Media Council of Tanzania, Court of Law ni nini?.Ni kwa watawala na viongozi wapumbavu tu ndio wanahangaika na Tanzania Daima.
 
Wadau hizi ni
habari ambazo napata taabu sana kuzithibitisha
lakini zaweza kuwa hadharani mda wowote kuanzia
sasa, kuna mdau wangu aliye ndani
ya Wizara ya Habari, Vijana,
Utamduni na
Michezo
,
katustua kwamba kuna kikao cha dharula kimekaliwa pale wizarani kila
mjumbe aliye kikaoni ameshika Gazeti la Tanzania Daima,
inajadiliwa kama wanaweza kulitafutia sababu na kulifungia kwa
sababu zozote zile mojawapo ikiwa ni kwamba limetoa namba za
simu na mienendo ya mawasiliano ya watu hii leo kwa
kubandika walaka wa Malando na kuzitoa namba za simu kwa
ukamilifu
bila kuwa na idhini ya wahusika hasa ukichukulia
mawasiliano ya mtu ni Faragha.

Naombeni mnaojua miiko ya uandishi wa habari mnifumbue kama
waraka wa Mabele uliotolewa na Tanzania Daima
ni makosa ya Magazeti au Mabele.



Wafungie tu hicho kikaratasi,wenyewe mnaita gazeti!
 
Chonde chonde,Tanznia kwanza ! ubinafsi mbali,tujifunze Kenya ,wamekwishaona mbali,maendeleo hayaji kwa staili hii.Tunashindania nini ,nchi ni yetu sote,CCM inaongoza kwa mujibu wa katiba,sio vinginevyo,tuwape support watimize wajibu wao,kama kuna kasoro ,zipo taratibu za kurekebishana .2015 atakayepeperusha bendera ya Taifa pia apewe support bila ubaguzi wa aina yoyote,tuvumiliane.

Hongera kwa kujitahidi.
 
Jf mods walikuwa makini sana katika kuzingatia faragha ya mtu ndio maana namba ziliwekwa xxxxxx.
 
Wadau hizi ni habari ambazo napata taabu sana kuzithibitisha lakini zaweza kuwa hadharani mda wowote kuanzia sasa, kuna mdau wangu aliye ndani ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamduni na Michezo, katustua kwamba kuna kikao cha dharula kimekaliwa pale wizarani kila mjumbe aliye kikaoni ameshika Gazeti la Tanzania Daima, inajadiliwa kama wanaweza kulitafutia sababu na kulifungia kwa sababu zozote zile mojawapo ikiwa ni kwamba limetoa namba za simu na mienendo ya mawasiliano ya watu hii leo kwa kubandika walaka wa Malando na kuzitoa namba za simu kwa ukamilifu bila kuwa na idhini ya wahusika hasa ukichukulia mawasiliano ya mtu ni Faragha.

Naombeni mnaojua miiko ya uandishi wa habari mnifumbue kama waraka wa Mabele uliotolewa na Tanzania Daima ni makosa ya Magazeti au Mabele.
time will tell
 
Hili la kuanika namba za watu hata mimi limenitia hofu,kwani hata ilipokuja hoja hiyo ya mh Marando hapa jf ma mods walijitahidi kuzificha kidogo,sijui ikiunganishwa na siasa za maji taka hapo ccm wanaweza kutumia mwanya huu kuwaziba chadema midomo,ccm wanafikiria pa kuchomokea,au ndio walionunua magazeti yote kama mdau mmoja alivyotuhabarisha?
kinachoendelea sasa hivi hapa tz ni vigumu kufuata routine za kawaida ndugu yangu. Hii unaweza kuiunganisha na kauli aliyoitoa Mh. joseph Mbilinyi ambayo kwa kiasi fulani haijawafuraisha baadhi ya watu lakini kiukweli mambo yanayofanyika hivi sasa kuyapa jina linginem mbali na 'upumbavu' ni ngumu!
Mfano rahisi ni kuwa sote tumezoea kuwa mjamzito hujifungua kwa njia ya kawaida lakini ikitokea hali tofauti unafanyika upasuaji (operation) iliyo tofauti na asili lakini mwishowe mtoto anapatikana.
Kwa mfano huo ni kuwa wanaoitakia mema nchi hii hawataweza kusubiria 'mtoto' kuzaliwa naturally maana mama huenda akapoteza maisha, lazima njia isiyozoeleka ifuatwe kuinusuru nchi kama Tanzania Daima wanavyofanya sasa. It's so risk lakini watafanyaje!?
 
Baada ya Tanzania Daima, linafuata Habari Leo
 
Back
Top Bottom