toghocho JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 1,172 Reaction score 198 Jan 20, 2013 #1 Heshima mbele wakuu, nimeambiwa kuna nafasi ya kazi kwenye gazeti la Tanzania Daima la jana tar 19, ukurasa wa tano, mwenye uwezo wa kutupatia page hiyo tafadhali naomba msaada wako wa scanned au details,... natanguliza heshima....
Heshima mbele wakuu, nimeambiwa kuna nafasi ya kazi kwenye gazeti la Tanzania Daima la jana tar 19, ukurasa wa tano, mwenye uwezo wa kutupatia page hiyo tafadhali naomba msaada wako wa scanned au details,... natanguliza heshima....
WILLY MTAFYA Member Joined Sep 15, 2013 Posts 12 Reaction score 1 Sep 16, 2013 #2 Du! Nimepata to late hyo infor ya ajira.
WILLY MTAFYA Member Joined Sep 15, 2013 Posts 12 Reaction score 1 Sep 16, 2013 #3 Jaman kwanini walimu tunapuzwa sna? Taaluma yetu inadharauliwa kupita kiasi utadhan tumegushi vyeti.