Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
mkuu ebu fafanua kidogo huo umakini unaouta ni upi ?.
ugadi...
mkuu ebu fafanua kidogo huo umakini unaouta ni upi ?.
Kama sio makusudi basi mna kila sababu ya kujipanga upya.
Mbaya zaidi ndio leading story !!!
Kama na wewe umeweza kusahihisha basi heading imeeleweka huwezi kujadili vitu vidogo vya typing error mkaacha ufusadi wa masisiem na vizazi vyao,watu wa dizaini hii ya mleta mada ndio mtaji mkubwa wa magamba
Kama sio makusudi basi mna kila sababu ya kujipanga upya.
Mbaya zaidi ndio leading story !!!