Tanzania Daima Kuweni Makini

Tanzania Daima Kuweni Makini

Goodrich

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2012
Posts
2,091
Reaction score
1,179
Kama sio makusudi basi mna kila sababu ya kujipanga upya.
Mbaya zaidi ndio leading story !!!
 

Attachments

  • 2013-10-08 09.55.14.jpg
    2013-10-08 09.55.14.jpg
    228.5 KB · Views: 312
Hili gazeti ni la hovyo sana, limekaa kichama zaidi.
 
hata haileweki, kuanzia polisi hadi magazeti...
 
Hapo sikuekewi nimemsikia RPC wakati tunarudi home akihojiwa Clouds FM na E.Kibonde na kukiri kuwa ni yeye aliyetoa taarifa hizo akaenda mbali kuwataja majina wote.....sasa gazeti hilo linashida gani...jamani...duuu watu wanawashwa kuandika jipange kabla ya comment mbele ya wanaume.
 
Mkuu ebu fafanua kidogo huo umakini unaouta ni upi ?.
 
Hapo sikuekewi nimemsikia RPC wakati tunarudi home akihojiwa Clouds FM na E.Kibonde na kukiri kuwa ni yeye aliyetoa taarifa hizo akaenda mbali kuwataja majina wote.....sasa gazeti hilo linashida gani...jamani...duuu watu wanawashwa kuandika jipange kabla ya comment mbele ya wanaume.

Una haraka sana !
 
The heading of a leading story.
"Vijana 11 Wanaswa wakijifunza UGADI"
Nashukuru kwa kuonyesha ulichomaanisha.
Nilidhania unaatakaku kuelezea attitude yao kumbe ni mambo ya technical na typing error, sawa na inaelekea unawatakia mema.
 
Mleta uzi, shida iko wapi? Mbona karibu vyombo vyote vya habari vimeripoti hi kitu? Tena walikua na CD za Al Quida, Al shaabab na sijui kile kingine kinaitwaje sijui, sasa sijaelewa, complain yako iko wapi kwenye hilo gazeti! Naomba ku-declaire interest, hili kwangu ndio gazeti chaguo No 1 kw ayale yanayotoka kila siku then Mawio na Raiamwema kwa yale ya kila wiki. Na tokea nimeanza kusoma gazeti hili, sijawahi kujilaumu!
 
Tanzania mnahamu sana na Al shababu mupate kuonekana kwenye bbc duniani kote kama wezetu kenya sawa endeleeni kuwataja hao majamaa
 
...Duh! Kweli Kukosa Umakini ni Janga Mojawapo la Kitaifa!! Kwamba hata Hapa JF Idadi kubwa ya Wachangiaji Imekosa Umakini wa Kuona kuwa Mleta Uzi alikuwa anakosoa kukosa Umakini wa TDaima wa kuandika kichwa cha habari chenye neno UGADI badala ya UGAIDI....!!!
 
...Duh! Kweli Kukosa Umakini ni Janga Mojawapo la Kitaifa!! Kwamba hata Hapa JF Idadi kubwa ya Wachangiaji Imekosa Umakini wa Kuona kuwa Mleta Uzi alikuwa anakosoa kukosa Umakini wa TDaima wa kuandika kichwa cha habari chenye neno UGADI badala ya UGAIDI....!!!
Kama na wewe umeweza kusahihisha basi heading imeeleweka huwezi kujadili vitu vidogo vya typing error mkaacha ufusadi wa masisiem na vizazi vyao,watu wa dizaini hii ya mleta mada ndio mtaji mkubwa wa magamba
 
Mleta uzi, shida iko wapi? Mbona karibu vyombo vyote vya habari vimeripoti hi kitu? Tena walikua na CD za Al Quida, Al shaabab na sijui kile kingine kinaitwaje sijui, sasa sijaelewa, complain yako iko wapi kwenye hilo gazeti! Naomba ku-declaire interest, hili kwangu ndio gazeti chaguo No 1 kw ayale yanayotoka kila siku then Mawio na Raiamwema kwa yale ya kila wiki. Na tokea nimeanza kusoma gazeti hili, sijawahi kujilaumu![/QUOTE
mkuu kuna typing error kwenye neno UGADI badala ya ugaidi, ndo hilo mkuu

hata mie ndo gazeti langu pendwa
 
Back
Top Bottom