Kwani MUM wamejitoa TCU?
Selection zao kujiunga pale hazipitii TCU kama form six wengine ambao lazima wawe allocated na vyuo na TCU. Unaonekana kama unataka kuwa mbishi! Just ask, hakuna anayejua kila kitu!
Ivi inawezekana chuo kikuu kujitoa na registration ya TCU? Alafu inakuwaje kwa Graduates wao wakienda nje ya chini wakitaka ku apply maana si inabidi vyuo vya nje virudi huku ili kupata usahihi wa mwanafunzi huyo?au nini faida ya TCU?
Mkuu umekula bangi asubuhi asubuhi? Mleta mada kasema MUM wamejitoa TCU na ku question uhalali wa degree za MUM nje ya nchi, kosa langu ni lipi?
Inamaana wameshindwa kukiongoza, hawana umoja!
Ivi inawezekana chuo kikuu kujitoa na registration ya TCU? Alafu inakuwaje kwa Graduates wao wakienda nje ya chini wakitaka ku apply maana si inabidi vyuo vya nje virudi huku ili kupata usahihi wa mwanafunzi huyo?au nini faida ya TCU?
Wanafunzi wa MUM watakuwa na soko nchini Zanzibar so nothing to worry mkuu