Tanzania close to securing funding for second phase of SGR project

Kumbe unafahamu vinavyotumika? Uwe unafahamu na kutambua fani za uanduishi wa habari basi, mimi nimeleta habari kama ilivoripotiwa. Kama ni ya uongo haina facts pinga kwa facts weka wewe picha ambayo ni halisia basi tutakupigia makofi then pinga hoja ya story yenyewe haya mengine huwa tunaita maloloso tu.
Mkuu, hapo kipande cha morogoro-makutopora-dodoma kinachanganya kidogo. Hivyo jamaa anataka kueleweshwa tu.

Mfano; kuna hii habari ya Mwezi wa Saba ikionesha kipande kishapata ufadhili na makandarasi wapo site na progress iko hapa.

Screenshot_20191121-101730~2.jpeg
 
Ole,

Kazi ni kazi na wakati mnachukua hela kutoka kwa mabeberu walewale!

Maana hao ADB wanakopeshwa na Credit Suisse

Halafu mapumbavu ya njano yanasema Chadema “mabeberu”

Punguani kabisa!
 
Mkuu, hapo kipande cha morogoro-makutopora-dodoma kinachanganya kidogo. Hivyo jamaa anataka kueleweshwa tu.

Mfano; kuna hii habari ya Mwezi wa Saba ikionesha kipande kishapata ufadhili na makandarasi wapo site na progress iko hapa.

View attachment 1268071

Hicho kipande kimeanza kwa sababu ujengaji unaofanywa kwa awamu ya kwanza ndio upo 100% funded na Serikali. Kama unavyofahamu Serikali hata kama wasingekopeshwa uamuzi ulishafanywa kuweka mazingara ya kuboresha usafiri ni priority. Kwenye ujenzi kuna gangs tofauti, sasa kama gang ipo inaweza kufanya kazi huwezi kuwasimamisha ati kwa sababu hujapata 100% funding ya kujenga utaanza kidogo kidogo ndio hicho kitu kinafanyika.

Kumbuka mfano Tanzania tulikuwa tunapata Billioni 199 kwa mwaka kwa kuuza gold, hivi sasa tunategemea kupata billioni 479 kwa mwaka huu hilo ni ongezeko kubwa. Tanzanite kwa mwaka tulikuwa tunauza kilo 166 sasa hivi tunauza kilo 1995.52 yaani kutoka millioni 71 hadi billioni 2.5 hilo ni ongezeko kubwa vile vile. Hivyo basi hata tusipokopa tunaweza kujenga wenyewe. AfDB kwa sababu wanachochea maendeleo ya Afrika wameweza kukubali kwenda bega kwa bega na sisi kwa sababu hii reli itakuwa chachu nzuri vile vile kwa nchi za Congo, Rwanda, Burundi pamoja na Uganda.

Hapa chini waziri wa madini akitoa ufafanuzi kwenye sekta ya madini na ongezeko la kipato kwa taifa;

 
MakinikiA,


Soma hapa chini jinsi CIA walivyosema:

Economy - overview: This entry briefly describes the type of economy, including the degree of market orientation, the level of economic development, the most important natural resources, and the unique areas of specialization. It also characterizes major economic events and policy changes in the most recent 12 months and may include a statement about one or two key future macroeconomic trends.

Tanzania has achieved high growth rates based on its vast natural resource wealth and tourism with GDP growth in 2009-17 averaging 6%-7% per year. Dar es Salaam used fiscal stimulus measures and easier monetary policies to lessen the impact of the global recession and in general, benefited from low oil prices. Tanzania has largely completed its transition to a market economy, though the government retains a presence in sectors such as telecommunications, banking, energy, and mining.

The economy depends on agriculture, which accounts for slightly less than one-quarter of GDP and employs about 65% of the work force, although gold production in recent years has increased to about 35% of exports. All land in Tanzania is owned by the government, which can lease land for up to 99 years. Proposed reforms to allow for land ownership, particularly foreign land ownership, remain unpopular.

The financial sector in Tanzania has expanded in recent years and foreign-owned banks account for about 48% of the banking industry's total assets. Competition among foreign commercial banks has resulted in significant improvements in the efficiency and quality of financial services, though interest rates are still relatively high, reflecting high fraud risk. Banking reforms have helped increase private-sector growth and investment.

The World Bank, the IMF, and bilateral donors have provided funds to rehabilitate Tanzania's aging infrastructure, including rail and port, which provide important trade links for inland countries. In 2013, Tanzania completed the world's largest Millennium Challenge Compact (MCC) grant, worth $698 million, but in late 2015, the MCC Board of Directors deferred a decision to renew Tanzania’s eligibility because of irregularities in voting in Zanzibar and concerns over the government's use of a controversial cybercrime bill.

The new government elected in 2015 has developed an ambitious development agenda focused on creating a better business environment through improved infrastructure, access to financing, and education progress, but implementing budgets remains challenging for the government. Recent policy moves by President MAGUFULI are aimed at protecting domestic industry and have caused concern among foreign investors.

Uchumi wa Tanzania unaonyesha GDP inakuwa kwa asilimia 7. (Yaani hiyo imekuwa constant sasa kwa miaka 10) Au kwa maneno rahisi uchumi wetu unakua vizuri.

Kama JPM alivyosema tunaweza hakuna cha kuogopa. Hapa Kazi Tu!
 
Back
Top Bottom