Ndugu thinkers leo hii bei ya dola ni 1540 kuuza kununu 1560 mpaka 1600 na pesa yetu haipatikani na ikipatikana haina thamani.Nani huyu katupeleka hapa idadi yetu haijulikana watawala wetu wanona kawaida maisha yamepnda mkuu wa wasaidizi wao kwao hawana matatzizo kama yetu na wao hawajali kama taulo imeanguka kwa wakwe nani ataokota niiname ni kosa je nini hatma ya nchi yangu tanzania je yatupasa kufunga na kuomba ama nahisi roho i radhi ila mwili ni dhaifu saa yaja na haiko mbali wana watnganyika kila mmoja atataka kuiokoa nafsi yao