The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,428
Najaribu kuwaza hali ambavyo ingekuwa kama tungekuwa na rais mwingine na siyo huyu rahis wa sasa.
Wewe una akili sana.Nafikiri ingekua pazuri kuliko ilipo sasa
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🤨🤨🤨 kasomea lini na wapi huo udaktari au inamaanisha uganga wa kienyeji mwanangu?Dkt. Samia Suluhu Hassan licha ya mapungufu yake kama binadamu wa kawaida lakini pia amefanya mambo mengi ya kupongezwa.
1. Miradi ya maendeleo kila kata Tanzania nzima
2. Uhusiano wa kimataifa umeimarika.
3. Mashirika ya kimataifa yanaendelea kudhamini miradi mbalimbali na kuwawezesha wananchi kiuchumi.
Kwahiyo tuna kila sababu ya kumpongeza na kumtia moyo ili atekeleze zaid. 🙏
Labda kama unamanisha kumtia mbupu na sio moyo hapo sawa nitamtia ila kama ni moyo hapana kwakweliDkt. Samia Suluhu Hassan licha ya mapungufu yake kama binadamu wa kawaida lakini pia amefanya mambo mengi ya kupongezwa.
1. Miradi ya maendeleo kila kata Tanzania nzima
2. Uhusiano wa kimataifa umeimarika.
3. Mashirika ya kimataifa yanaendelea kudhamini miradi mbalimbali na kuwawezesha wananchi kiuchumi.
Kwahiyo tuna kila sababu ya kumpongeza na kumtia moyo ili atekeleze zaid. 🙏
...Waarabu wa DP World wasingemilikishwa bandari, tusingefahamu kama ana wajomba zake Oman, tusingefahamu kama anatokea Kizimkazi, tusingefahamu ana watoto kama Wanu na Abdul, tusingefahamu kama Mchengerwa ni mkwe wake, tusingemfahamu Chivayo, Mwigulu angekuwa siyo waziri wa fedha na mipango, Singida blaçk stars isingekuwepo!!Najaribu kuwaza hali ambavyo ingekuwa kama tungekuwa na rais mwingine na siyo huyu rahis wa sasa.
Dkt. Samia Suluhu Hassan licha ya mapungufu yake kama binadamu wa kawaida lakini pia amefanya mambo mengi ya kupongezwa.
1. Miradi ya maendeleo kila kata Tanzania nzima
2. Uhusiano wa kimataifa umeimarika.
3. Mashirika ya kimataifa yanaendelea kudhamini miradi mbalimbali na kuwawezesha wananchi kiuchumi.
Kwahiyo tuna kila sababu ya kumpongeza na kumtia moyo ili atekeleze zaid. 🙏