Tanzania Army Cyber Command

Tanzania Army Cyber Command

Leo hii account kibao zimekuwa hacked ni wazi ni lazima kama nchi tuanzishe
Tanzania army cyber command kama ingekuwepo ingezuia hili shambulio
Ondoa neno army hapo, hiyo iko kwa ajili ya mambo ya kijeshi.
Ni kuwa na agency ya kiraia ambayo itafanya hizo kazi.

That how huku US wanafanya wana agency CISA, hii component ya homeland security ,ambao wamekua wakifanya hivyo muda mrefu sana.
Zaidi yapo wa NSA japokuwa hawa ni information collection na n.k

Laki pia wana sera ambazo zinawawezesha makampuni makubwa kama microsoft,google ku wajulisha kama kuna shambulio ya kimtandao
 
Jiandae october tutakupa Urais

Wa Tokos Musica umrithi Nyoshi el saadat kupaka mkorogho

tukishajua uwezo wako tutaangalia tena
 
Ondoa neno army hapo, hiyo iko kwa ajili ya mambo ya kijeshi.
Ni kuwa na agency ya kiraia ambayo itafanya hizo kazi.

That how huku US wanafanya wana agency CISA, hii component ya homeland security ,ambao wamekua wakifanya hivyo muda mrefu sana.
Zaidi yapo wa NSA japokuwa hawa ni information collection na n.k

Laki pia wana sera ambazo zinawawezesha makampuni makubwa kama microsoft,google ku wajulisha kama kuna shambulio ya kimtandao
Unaondoaje jeshi kuna mambo mengi huyajui alafu mbaya zaidi akili zako zimeshikwa ndo hutakaa unielewe
 
Us amey
Kama hakuna ndo kinachoizuia Tanzania wasiwe nacho hizi kali za kushikwa hizi

Angalia u.s army cyber command kazi zao usiwe unaongea mambo usiyoyajua

Kama hakuna ndo kinachoizuia Tanzania wasiwe nacho hizi kali za kushikwa hizi

Angalia u.s army cyber command kazi zao usiwe unaongea mambo usiyoyajua
Unajua kazi ya US cyber com? Wale ni kwa ajili ya jeshi lao.
Usualy wako pale kulinda infrastructure za jeshi. Si za kiraia

kuna agency ambayo si ya jeshi inafanya hizo kazi, CISA, wako under department of homeland security
Hawa wako kulinda miundo mbinu na data za serikal
Lakin kuna wadau wengine kama NSA, FBI cyber teams .
Pili sera ambayo imeruhusu makampuni makubwa kama microsoft, google wmbazo wa cyber labs zao na structure sao, kuijulisha serikal kama kuna shambulio ya kumtandao kwenye taasis zake

Si kila kitu ni kuweka jeshi
 
Mi naomba ni kuulize kitu naona kama akili zilipataga ajali ya ndege.
Hivi wewe kila kitu dunia hii unataka kuwa unamawazo mengi kushinda hata computer na AI
Unataka kusema jamaa ni Overthinking.
 
Us amey



Unajua kazi ya US cyber com? Wale ni kwa ajili ya jeshi lao.
Usualy wako pale kulinda infrastructure za jeshi. Si za kiraia

kuna agency ambayo si ya jeshi inafanya hizo kazi, CISA, wako under department of homeland security
Hawa wako kulinda miundo mbinu na data za serikal
Lakin kuna wadau wengine kama NSA, FBI cyber teams .
Pili sera ambayo imeruhusu makampuni makubwa kama microsoft, google wmbazo wa cyber labs zao na structure sao, kuijulisha serikal kama kuna shambulio ya kumtandao kwenye taasis zake

Si kila kitu ni kuweka jeshi
Unafikiri watakuambia kila kitu kwa usahii utasubiri sana
 
Moja ya mambo ambayo ntaanzisha ni Tanzania army cyber command na itakua na kazi zifuatazo
  • Kufacilitate cloud migration ya data zote za taasisi, wizara, na mashirika ya serikali
  • Kuzilinda taaarifa zote za taasisi, wizara, na mashirika ya serikali
  • Kulinda critical infrastructure mfano za umeme, na mawasiliano
  • Electromagnetic warfare
  • Information warfare
  • Cyberspacing

View attachment 3338840

Wameumbuliwa
 
Back
Top Bottom