Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,125
- 6,141
Moja ya mambo ambayo ntaanzisha ni Tanzania army cyber command na itakua na kazi zifuatazo
- Kufacilitate cloud migration ya data zote za taasisi, wizara, na mashirika ya serikali
- Kuzilinda taaarifa zote za taasisi, wizara, na mashirika ya serikali
- Kulinda critical infrastructure mfano za umeme, na mawasiliano
- Electromagnetic warfare
- Information warfare
- Cyberspacing