kaka barabara hyo haifai tena,serkali hi ni mbovu,kuna watu wamehongwa kuikubali barabara hyo ili ikabidhiwe serkalini,hvyo bsi tanroad singda iwajibike pia,hyo barabara irudiwe,sasa sijui tutakuwa tunapita wapi,eti serkali sikivu! Yani hlo neno linaniudhi,