TANROADS hawana uwezo wa kudesign barabara nzuri kama za Kenya?

Nilijua unaakili nowdays kumbe bado zezeta!!! Kwa hiyo wajenge flyover ya mabillion ya fedha kupendezesha mji???
Nilijua una akili kumbe umejaa mavi kichwani.

Unaijua Dola Bilioni kwanza? Pili ukiacha kwamba traffic inakuwa na kuongezeka ni wajibu wao ndio kupendezesha Miji.

Barabara ni pambo la Miji na ndio maana unaona hata majengo pamoja na ku serve purpose kuu yanajengwa Ili yapendezeshe.

Punguza kuwa mpumbavu basi.
 
Nnje ya mada hii interchange haipo kisumu kenya!
Kama sijakosea ni tetteh or sofoline interchange in Ghana
Kuanzia Kisumu,Eldoret,Nakuru,Mombasa na Nairobi kote huko wamejenga Interchange na flyover.

The likes to Uganda Jinja,Entebe,Kampala Hadi Gulu.

Ni nyie mbumbumbu wa TanRoads ndio mumejaza mavi kichwani na Mabarabara yenu ya makokoto.
 
Nilijua una akili kumbe umejaa mavi kichwani.

Unaijua Dola Bilioni kwanza? Pili ukiacha kwamba traffic inakuwa na kuongezeka ni wajibu wao ndio kupendezesha Miji.

Barabara ni pambo la Miji na ndio maana unaona hata majengo pamoja na ku serve purpose kuu yanajengwa Ili yapendezeshe.

Punguza kuwa mpumbavu basi.
Siunaona wewe akili huna "dola billion" nani kasema??? Wewe zezeta bado hujakua.
 
Kuanzia Kisumu,Eldoret,Nakuru,Mombasa na Nairobi kote huko wamejenga Interchange na flyover.

The likes to Uganda Jinja,Entebe,Kampala Hadi Gulu.

Ni nyie mbumbumbu wa TanRoads ndio mumejaza mavi kichwani na Mabarabara yenu ya makokoto.
Wewe huna akili hata kidogo(zezeta) Tuanze kwanza interchange/ flyover wherever inajengwa kupendezesha mji au kwaajili ya uhitaji??

Pili Unajua maana ya interchange au unaisikiaga tu kwenye taarifa ya habari??
Hivi viflyover vya kupanga matofali ambavyo vipo hapo kenya ni afadhali zetu.
 
Wewe huna akili hata kidogo(zezeta) Tuanze kwanza interchange/ flyover wherever inajengwa kupendezesha mji au kwaajili ya uhitaji??

Pili Unajua maana ya interchange au unaisikiaga tu kwenye taarifa ya habari??
Hivi viflyover vya kupanga matofali ambavyo vipo hapo kenya ni afadhali zetu.
Umejaza Kamasi kichwani,hii ya Dodoma Ring Road inajengwa Nje ya Mji huko Kuna mahitaji gani?
Screenshot_20240110-115731.jpg


Pili unapochagua Ramani Kali ya nyumba Huwa unachagua mahitaji au kupendeza?
 
Nilichosema ni kuwa suala la Ujenzi linategemea utolewaji wa fedha kutoka Serikalini.


JPM alithubutu kuanza ujenzi wa hizo flyovers na barabara pana ya Kimara mwisho hadi Kibaha.

Kwasasa Nchi ina miradi mingi ya Kimkakati inayohitaji fedha nyingi, hivyo nina uhakika hizo design huwenda zipo tayari zikisubiri fedha.

Kwa taarifa nilizonazo madeni ya Wakandarasi kwa miradi iliyofanyika na inayoendelea yamefikia shilingi 2.6T

Na binafsi ningekuwa pale juu kama Rais wa Nchi, ningejenga barabara ya njia 6 kutokea pale Kibaha iende hadi Morogoro ili kusukuma maendeleo.

Pia ningejenga fly over kutoka Ubungo iende hadi pale Mbagala pamoja na kuzuia malori kutumia barabara badala yake ningeikamilisha reli ya SGR ili malori yawe yanaishia Morogoro na hayo malori yangekuwa yanapakilia mizigo yao kule
Na Mimi nasema majinga ni hayo Majitu ya TanRoads huwezi leta kitu substandard au kibaya Kwa kisingizio Cha gharama.

Ndio nauliza hizo gharama ziko Tzn tuu? Huko kwingine wanakojenga wanatumia matope?

Ni akili ndogo tuu na za kijinga,si unaona Moja lipo hapo linaongelea mahitaji,ni wapi hakuna mahitaji au mahitaji Yako static hayakui?

Harafu huko TanRoads Hawana Coordination nzuri Wala vipaombele ni Bora liende.
 
Umejaza Kamasi kichwani,hii ya Dodoma Ring Road inajengwa Nje ya Mji huko Kuna mahitaji gani?
View attachment 2867257

Pili unapochagua Ramani Kali ya nyumba Huwa unachagua mahitaji au kupendeza?
Nimekwambia akili huna wewe( zezeta)
Hiyo ring road inajengwa strategically kupunguza congestion katikati ya jiji la dodoma ambalo linakua kwa kasi! Kwa hiyo uhitaji upo.

Yaani wewe akili huna kabisa nasema
 
Nimekwambia akili huna wewe( zezeta)
Hiyo ring road inajengwa strategically kupunguza congestion katika ya jiji la dodoma ambalo linakua kwa kasi! Kwa hiyo uhitaji upo.

Yaani wewe akili huna kabisa nasema
Dodoma Kuna congestion ipi ya kuzidi Tanzam Road?

Jibu swali,hii flyover hapa Inapunguza congestion ya wapi wakati Iko Nje ya Mji huko?
Screenshot_20240110-115731.jpg


Hata Kwa macho tuu Dodoma Kuna congestion ipi kuzidi Mbeya pale kuanzia Uyole-Mbalizi?
 
Nilichosema ni kuwa suala la Ujenzi linategemea utolewaji wa fedha kutoka Serikalini.


JPM alithubutu kuanza ujenzi wa hizo flyovers na barabara pana ya Kimara mwisho hadi Kibaha.

Kwasasa Nchi ina miradi mingi ya Kimkakati inayohitaji fedha nyingi, hivyo nina uhakika hizo design huwenda zipo tayari zikisubiri fedha.

Kwa taarifa nilizonazo madeni ya Wakandarasi kwa miradi iliyofanyika na inayoendelea yamefikia shilingi 2.6T

Na binafsi ningekuwa pale juu kama Rais wa Nchi, ningejenga barabara ya njia 6 kutokea pale Kibaha iende hadi Morogoro ili kusukuma maendeleo.

Pia ningejenga fly over kutoka Ubungo iende hadi pale Mbagala pamoja na kuzuia malori kutumia barabara badala yake ningeikamilisha reli ya SGR ili malori yawe yanaishia Morogoro na hayo malori yangekuwa yanapakilia mizigo yao kule
Pesa zote mmenunua magari na nauli za kwenda kuzurura nje
 
unadhani hawa wanaakili?? Mtu anaokota picha anasema kisumu!! Mwingine anataka mabillion ya fedha yajenge flyover sehemu ambayo hamna uhitaji ili kufanya beautification
Wapi hakuna uhitaji? Dodoma Kuna congestion ipi kuzidi junction ya Mafiat au CBD ya Mwanjelwa au Junction ya Meta?

Au hayo mahitaji unayaona wewe punga peke yako?
 
Na Mimi nasema majinga ni hayo Majitu ya TanRoads huwezi leta kitu substandard au kibaya Kwa kisingizio Cha gharama.

Ndio nauliza hizo gharama ziko Tzn tuu? Huko kwingine wanakojenga wanatumia matope?

Ni akili ndogo tuu na za kijinga,si unaona Moja lipo hapo linaongelea mahitaji,ni wapi hakuna mahitaji au mahitaji Yako static hayakui?

Harafu huko TanRoads Hawana Coordination nzuri Wala vipaombele ni Bora liende.
Kuhusu gharama bado sijafanya tafiti ila kwa Tanzania gharama zimepaa kutoka Milioni 800 mwaka 2014 hadi kufikia shilingi 1.6Bilioni mwaka 2022

Tatizo ninaloliona ni kukosekana kwa Uzalendo miongoni mwa Wataalamu wetu na Viongozi wetu wa Kitaifa
 
Hii interchange ipo kisumu, mji wa mdogo kabisa huko kenya, lakini interchange kama hii imejengwa huko.

Barabara ya Kimara - Kibaha hadi leo haijaisha, wametuwekea mataa utadhani ukumbi wa muziki.. taa zenyewe kila siku hazifanyi kazi.

View attachment 2867192

Bongo huwezi kutana na watu wa mamlaka wanaotumia akili inapopaswa kutumia akili...

Mbezi Mwisho pale tu kuweka zile over pass ilikuwa ni baada ya kupigiwa kelele...
 
Back
Top Bottom