Tanroad mnafeli wapi? Daraja siku 3 bado halipitiki?

Nilipomuona Magufuri asbhi pale ubungo jinsi alivyokuwa anamsikiliza Muhandis Mfugale nilihisi kitu maana alikuwa kama anampotezea hivi, kumbe alikuwa anaenda kumpa yake Morogoro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu john kama vile anamuogopa Mfugale au macho yangu yanaona vibaya
 
Hivi inakuaje Moshi pana magari Mengi kuliko chato lakin hakuna traffic lights, Ila chato Kuna traffic lights
 
Tatizo la Tanzania tunaingiza siasa kila sehemu hakuna injinia anaeweza kujenga daraja kwa siku tatu tusidanganyane

Hiyo nguzo tu ya zege kama itachimbiwa kwa ajili ya kubeba daraja siku 3 inakuwa bado haijakauka

Madaraja ya kujenga siku 3 ni madaraja ya kijeshi

Ilitakiwa jeshi wajenge hilo daraja la siku 3 kisha mainjinia wa tanroad wajenge taratibu daraja la kudumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuwa sasa serikali inahamia Dodoma inabidi zijengwe barabara nyingi zinazoingia na kutoka Dodoma

Sasa kama kabarabara chenyewe kamoja tu Dar Moro Dodoma ni hatari sana

Barabara haipitiki na last wk ndege ilitoka Dar kwenda Dom ilipofika Dom ikashindwa kutua kwa sababu ya ukungu ikabidi irudi Dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 

La Dodoma llishashindikana
 
Walitakiwa wajenge daraja la muda au njia mchepuko ndio waendelee na mambo yao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…