Gomegwa G
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 415
- 535
Habari za wakati huu wadau wa jukwaa la MMU? Naenda moja kwa moja kwenye lenho kuu la uzi huu.
Kuna mwanamke npo naye kwenye mahusiano mwaka wa tatu sasa, tangu nimekuwa naye mambo yangu mengi yaliharibika na yanaendelea kuharibika. Lakin yeye ni wa kunitakia kheri kwa kila kitu. Tena anafanya hata kunipa support ya kiuchumi ilimradi nipige hatua mbele.
Cha ajabu ni kwamba, kila napokuwa mbali na yeye kila kitu kinakuwa sawa mpaka kuna wakati najiuliza kama pengine ana mikosi, lakin kwa bahati nzuri au mbaya sijaamini kama kuna ukweli juu ya hilo swala.
Wadau, kama kuna mtu ana experience au ushuhuda juu ya hilo swala naomba uchangie chochote tafadhali.
Kuna mwanamke npo naye kwenye mahusiano mwaka wa tatu sasa, tangu nimekuwa naye mambo yangu mengi yaliharibika na yanaendelea kuharibika. Lakin yeye ni wa kunitakia kheri kwa kila kitu. Tena anafanya hata kunipa support ya kiuchumi ilimradi nipige hatua mbele.
Cha ajabu ni kwamba, kila napokuwa mbali na yeye kila kitu kinakuwa sawa mpaka kuna wakati najiuliza kama pengine ana mikosi, lakin kwa bahati nzuri au mbaya sijaamini kama kuna ukweli juu ya hilo swala.
Wadau, kama kuna mtu ana experience au ushuhuda juu ya hilo swala naomba uchangie chochote tafadhali.