Tangu nifike Mjini miaka mingi iliyopita sijawahi kushihudia MGAO mkali wa UMEME kama huu unaoendelea leo.
Ni ovyo, ovyo, ovyo kabisa. Zamani nilikuwa nawatetea sana viongozi wa Serikali lakini kwa sasa, Hapana.
Wamefeli kwa kiwango ambacho hakijawahi kuwepo huko nyuma. Hawana jipya tena.
Allah Akbar.
Ni ovyo, ovyo, ovyo kabisa. Zamani nilikuwa nawatetea sana viongozi wa Serikali lakini kwa sasa, Hapana.
Wamefeli kwa kiwango ambacho hakijawahi kuwepo huko nyuma. Hawana jipya tena.
Allah Akbar.