Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

Kilichofanyika ubungo ni ushuhuda mwingine jinsi mtu mweupe alivyo sharp kutatua matatizo yanayo mkabili. Yaan sijui hata wanatumia sehemu ipi ya ubongo, linapokuja swala kutatua matatizo yao

Nachukia kusema hivi, kwa tafsiri kuwa Hao slow thinkers na hata mie nipo, na baadhi watatafsiri ni kumtukuza mweupe, lakini waungwana hakuna kitakacho weza Kureplace ukweli,, ukweli una desturi ya kusimama peke yake hata ufanyeje.

Juz hapa Ethiopia 737 max imeanguka, issue ni nose pitchdown Kutokana na autopilot software issues, kumbe pilots kadhaa huko kwa wenzetu walishakutana na issue hiyo kwenye 737 max na walikuw a quick enough Ku recover bila ku make headlines bila (ajali) wengine hadi walitoa maoni anonymous kupitia boeing kuwa instructions manual on 737max was criminaly insufficient

Foleni ya ubungo mataaa inasumbua toka miaka ya 2000, kuna wakati hadi lowassa alikuja na mkakatati wa njia Tatu kwa wanaokwenda mjini, mpango ambao ulikuja kufeli kwa sababu kadhaa,

Mchina anakuja kutatua foleni kwa round about ya zege chafu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mchina oyee
 
habari wadau...

hii fake round about walioweka wachina hapa ubungo... imeonesha elimu yetu haitusaidiii hata kusolve matatizo yetu ya kila siku.

kabla hata hatujapata hela za fly over... tatizo la foleni ubungo tungeweza lipunguza kwa hii style..

hizi engineering degree za pale coet zinawaza kukamatana sap tu..

mchina katuonesha dharau sana.. kafuta 80% ya foleni kabla hajaanza hata kujenga fly over yake...


***** zenu mnaotunga sylabus za kijinga zisizoweza hata kutatua matatizo..
sis tubaki tu kupiga porojo na kubishana kuhusu 'mhitimu wa masomo ya uhandisi kati ya coet na DIT nani bora'.
 
Watu mnachekesha sana. So mnataka tuache kujenga flyover tuweke round about....jaribuni muone hizo ajali na foleni sugu hapo ubungo. Mnafikiri nchi zenye maflyover ni wajinga kuzijenga. Si wangeweka hizo round about kumaliza foleni. Ebu tuache hoja nyepesi. Hata Arusha kuna round about pale clock tower na foleni inakuepo wakati magari machache tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Foleni nyingi kuingia na kutoka jijini zinaweza kuondolewa kwa kuweka rotary (mzunguko aka round-about). Mfano, junction za Buguruni, Mwenge, Mapipa zinapaswa kuondolewa traffic lights (taa) na kuwekwa rotary.
 
ndio elimu yetu hii... tuna foleni miaka 10 traffic kibao.. mchina kaja kuifuta kiurahisi. na hapo ujenz wa flyover hajaanza

sasa nitawezaje kujua kuandika kama walionifundisha na watunga sylbus wameshindwa kusolve matatizo yetu
ENZIZILE ALITUFUNDISHA KUSIFIA CHAMA CHA CCM TUU HADIKESHO MTU ANAAMINI CCM NDOMANA MAMBO YA KUTATUA MATATIZO YANA TUSHINDA KAMA CHAMA CHA CCM


Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
 
Watu mnachekesha sana. So mnataka tuache kujenga flyover tuweke round about....jaribuni muone hizo ajali na foleni sugu hapo ubungo. Mnafikiri nchi zenye maflyover ni wajinga kuzijenga. Si wangeweka hizo round about kumaliza foleni. Ebu tuache hoja nyepesi. Hata Arusha kuna round about pale clock tower na foleni inakuepo wakati magari machache tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

soma kwa umakini kabla hujatoa hoja yako.. hakuna sehemu nimeipinga fly over... ndio maana nikauliza kabla hatujapata hela za kujenga fly over miaka zaidi ya 10 kuna foleni ubungo.. je tulishawai kufanya jaribio la bei rahisi ambalo ni tempolary kama hili kupunguza foleni.

maana hata hii round about mchina aliyoweka ni fake kwa ajili ya tempolary tu.. why sisi wakati hatuna hela hatukufanya hii.. maana hela za fly over ni nyingi sana tusingeweza kwa wakati huo
 
Magari mengi yamekimbia hiyo njia kutokana na hali mbaya ya foleni, mfano mimi tangu waanze ujenzi sithubuti tena kusogea hapo, niko radhi nizunguke hadi magomeni kuliko kupita hapo. Matokeao yake ni kuhisi kuna nafuu wakati ni watu wamehamia kwingine kwanye unafuu[/QUOTE
 
msisahau kuwa baadhi ya foleni zilikuwa zinakusudia mjaze mafuta mengi kwenye magari yenu ili visima vijazwe mafuta mapya!!! Sasa kutokana na mabadiliko ya usimamizi wa uingizaji mafuta... wameona haina haja!!
 
Manina zao kweli kwanini walinifundisha kilimo cha Rubber Thailand sijui nchi gani. Kilimo cha Cacao Ghana. Sijui walitaka nigundue nini.....manina zao tena. Hivi kwanini wasitufundishe marketing skills kule shuleni. Namna ya kupata mtaji, namna ya kuaccount mapato na matumizi n.k wangese sana......tungeweza kujiajiri mtu amemaliza la saba tu.

Sent using my Nokia Torch
Kilimo cha mpira Malaya
Hahahaha
Umenikumbusha mbali sana.
Nilichokaririshwa hata hakina msaada kwa maisha ya kila siku. Eti kilimo cha mpunga Burma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau...

Hii fake round about walioweka wachina hapa Ubungo imeonesha elimu yetu haitusaidiii hata kusolve matatizo yetu ya kila siku.

Kabla hata hatujapata hela za flyover tatizo la foleni Ubungo tungeweza lipunguza kwa hii style.

Hizi engineering degree za pale COET zinawaza kukamatana SUP tu.

Mchina katuonesha dharau sana kafuta 80% ya foleni kabla hajaanza hata kujenga flyover yake.


Aibu zenu mnaotunga syllabus za kijinga zisizoweza hata kutatua matatizo.
Hii ni nomaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau...

Hii fake round about walioweka wachina hapa Ubungo imeonesha elimu yetu haitusaidiii hata kusolve matatizo yetu ya kila siku.

Kabla hata hatujapata hela za flyover tatizo la foleni Ubungo tungeweza lipunguza kwa hii style.

Hizi engineering degree za pale COET zinawaza kukamatana SUP tu.

Mchina katuonesha dharau sana kafuta 80% ya foleni kabla hajaanza hata kujenga flyover yake.


Aibu zenu mnaotunga syllabus za kijinga zisizoweza hata kutatua matatizo.
Hii ni nomaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau...

Hii fake round about walioweka wachina hapa Ubungo imeonesha elimu yetu haitusaidiii hata kusolve matatizo yetu ya kila siku.

Kabla hata hatujapata hela za flyover tatizo la foleni Ubungo tungeweza lipunguza kwa hii style.

Hizi engineering degree za pale COET zinawaza kukamatana SUP tu.

Mchina katuonesha dharau sana kafuta 80% ya foleni kabla hajaanza hata kujenga flyover yake.


Aibu zenu mnaotunga syllabus za kijinga zisizoweza hata kutatua matatizo.[/QUOTE
 
Habari wadau...

Hii fake round about walioweka wachina hapa Ubungo imeonesha elimu yetu haitusaidiii hata kusolve matatizo yetu ya kila siku.

Kabla hata hatujapata hela za flyover tatizo la foleni Ubungo tungeweza lipunguza kwa hii style.

Hizi engineering degree za pale COET zinawaza kukamatana SUP tu.

Mchina katuonesha dharau sana kafuta 80% ya foleni kabla hajaanza hata kujenga flyover yake.


Aibu zenu mnaotunga syllabus za kijinga zisizoweza hata kutatua matatizo.
Hii ni nomaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom