Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Kwa kweli tangu ianze hii kauli "mbiu ya elimu bure" binafsi sijaona manufaa yoyote katika hili maana hali imekua mbaya sana hasa hasa vijijini.
Tangu hii sera ianze kutekelezwa nchini kumekua na changamoto nyingi sana hasa hasa kwenye suala zima la miundombinu thabiti itakayomwezesha mwanafunzi kupata elimu bora na si bora elimu.
Tangu kuanzishwa kwa sera hii...kumekuwa na changamoto ya vyumba vya madarasa, maabara na hata maktaba. Huwezi amini kuna baadhi ya shule vyoo ni vichache sana kulinganisha na idadi ya wanafunzi.
Licha ya changamoto ya miundombinu, eneo jingine ambalo linachangamoto ni upate wa rasilimali watu. Shule nyingi hasa hasa za vijijini hakuna walimu wakutosha..hii ni kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.
Huwezi amini kuna shule hazina walimu kabisa...halafu cha kushangaza walimu wengi waliohitimu vyuo vikuu wako mitaani wanauza vocha na soda! Huu ni upuuzi wa hali ya standard gauge!
Katika hili serikali ijitafakari kwa kweli yaani haiwezekani serikali ishindwe kujenga madarasa, wananchi wajitolee kujenga halafu walimu hakuna...
Hii issue ya Songea imeniumiza sana....yani serikali ishindwe kujenga miundombinu wananchi wajenge....halafu shule ifungwe kisa hakuna walimu kweli?
Halafu mtindo wa kutuchukulia walimu wetu wa vyuo nakuwafanya viongozi wa siasa huo ni umama. Sasa serikali inategemea watafiti watatoka wapi?
Mwisho, serikali inatakiwa ifute elimu bure kama haina uwezo wa kuajiri na kuhudimia wananchi ipaswavyo.
Serikali iache kuhamisha walimu wa sekondari kwenda kufundisha shule za msingi wakati kuna walimu wengi wa shule ya msingi mtaani na pia kuna shule nyingi hazina walimu hata hao wa arts.
Halafu naomba ipitishwe sheria au utaratibu wa watoto wote wa viongozi kuanzia mtaa hadi raisi wasomee shule za umma...hivyo ndivyo serikali ya wanyonge inapaswa kua.
WENU KATIKA UJENZI WA NCHI
Nebuchadinezzer.
ASANTENI
ASANTENI
Tangu hii sera ianze kutekelezwa nchini kumekua na changamoto nyingi sana hasa hasa kwenye suala zima la miundombinu thabiti itakayomwezesha mwanafunzi kupata elimu bora na si bora elimu.
Tangu kuanzishwa kwa sera hii...kumekuwa na changamoto ya vyumba vya madarasa, maabara na hata maktaba. Huwezi amini kuna baadhi ya shule vyoo ni vichache sana kulinganisha na idadi ya wanafunzi.
Licha ya changamoto ya miundombinu, eneo jingine ambalo linachangamoto ni upate wa rasilimali watu. Shule nyingi hasa hasa za vijijini hakuna walimu wakutosha..hii ni kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.
Huwezi amini kuna shule hazina walimu kabisa...halafu cha kushangaza walimu wengi waliohitimu vyuo vikuu wako mitaani wanauza vocha na soda! Huu ni upuuzi wa hali ya standard gauge!
Katika hili serikali ijitafakari kwa kweli yaani haiwezekani serikali ishindwe kujenga madarasa, wananchi wajitolee kujenga halafu walimu hakuna...
Hii issue ya Songea imeniumiza sana....yani serikali ishindwe kujenga miundombinu wananchi wajenge....halafu shule ifungwe kisa hakuna walimu kweli?
Halafu mtindo wa kutuchukulia walimu wetu wa vyuo nakuwafanya viongozi wa siasa huo ni umama. Sasa serikali inategemea watafiti watatoka wapi?
Mwisho, serikali inatakiwa ifute elimu bure kama haina uwezo wa kuajiri na kuhudimia wananchi ipaswavyo.
Serikali iache kuhamisha walimu wa sekondari kwenda kufundisha shule za msingi wakati kuna walimu wengi wa shule ya msingi mtaani na pia kuna shule nyingi hazina walimu hata hao wa arts.
Halafu naomba ipitishwe sheria au utaratibu wa watoto wote wa viongozi kuanzia mtaa hadi raisi wasomee shule za umma...hivyo ndivyo serikali ya wanyonge inapaswa kua.
WENU KATIKA UJENZI WA NCHI
Nebuchadinezzer.
ASANTENI
ASANTENI