Hiyo kitu ipo sana tu kuna familia iliteketekea kwa ajili ya mtu mmoja kwa sababu alitokomea na fedha za watu, baada ya kumfuatilia akawa hapatikani, tulikua kila siku tunazika mtu kwenye familia yao baada ya watu wanne kufariki ndo kuanza kutafuita watu wanaofanya hivyo ndo kuambiwa kuwa jamaa alichukua pesa ya biasharapotea ya watu na wanatakiwa kurudisha na jamaa aliyechukua pesa akawa mtu wa tano kufariki ndani ya siku tano tulizaika watu watano familia moja.usicheze na watu utapotea