Tangazo tangazo tangazo: Yah tanesco na serikali ya ccm

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Itakuwa vizuri tanesco na serikali ya CCM zibaidiliehse majina ya miradi yake inayoendelea hivi sasasa vijijini ma wilayani.
Badala ya kuitwa mradi ya Kusambaza Umeme iiitwe Miradi ya Kusambaza Mgao wa umeme. Au mnaonaje wadau

Mfano uienda kwneye tovuti ya Tanesco utakuta miradi hii
  • Electirification of Malya towns in Kwimba District
  • Electrification of Kilindi District in Tanga region
  • Electrification of Bahi District in Dodoma region
  • Electrification of Uyui District in Tabora region
  • Electrification of Matema Beach in Kyela District
endelea kusoma hapa Government Funded - Ongoing Projects


Sasa njiuliza hapa hii miradi
  • Wanafanya electrification au ndio tanesco wanafanya short circuit. na overloading. teh teh teh Huo umeme uko wapi?
  • inaonyesha poor project management and planning. Kwa nini wasisimamishe hiyo miradi hizo fedha waziingize e kwanza kwenye miradi ya kuzalisha huo uememe alafu ndio baadae waje waangalie jinsi ya kuusambaza. Au ndio ugawana umasikini ?
 
Tanesco ni dili, wakubwa wanaomba kila wakati utokee ukame ili deal ziende!! Hakuna kitu ingine ni hilo tu. Tutasonga mbele kama mission town tutaziacha au kuwafunga baadhi ya viongozi walio madarakani kwa sasa na kubadili katiba ya nchi.

Tanzania ujanja ujanja mwingi usiokuwa na manufaa kwa nchi, bora haya maujanja maujanja tungekuwa tunayatumia kuleta pesa za kigeni kutoka mataifa makubwa kama USA, UK, China nk ingesaidia. Lakini tunaibiana siye wenyewe, na kusaidia wezi kutoka nje ya nchi kuiba zaidi.
 
Kwa sasa TANESCO isidanganye waTZ kuwa ina uwezo wa kusambaza umeme vijijini au Wilayani. Inabidi wasimamishe shughuli zote watafute kwanza huo umeme wa kusambaza kwani kwa sasa haupo kabisa . Najua sasa wanapambana kulinda ajira kwa kujidai na vipindi vya kwenye TV ambavyo havina tija wala haijulikani kwa nini vinaendelea kuwepo kuwapa waTZ matumaini ambayo hayapo. Hivi vipindi vinatumia hela nyingi na ni vema vikaachwa hizo hela zikapelekwa kutafuta kwanza umeme wa kutosha.
 
Itakuwa vizuri tanesco na serikali ya CCM zibaidiliehse majina ya miradi yake inayoendelea hivi sasasa vijijini ma wilayani.
Badala ya kuitwa mradi ya Kusambaza Umeme iiitwe Miradi ya Kusambaza Mgao wa umeme. Au mnaonaje wadau

Mfano uienda kwneye tovuti ya Tanesco utakuta miradi hii
  • Electirification of Malya towns in Kwimba District
  • Electrification of Kilindi District in Tanga region
  • Electrification of Bahi District in Dodoma region
  • Electrification of Uyui District in Tabora region
  • Electrification of Matema Beach in Kyela District
endelea kusoma hapa Government Funded - Ongoing Projects


Sasa njiuliza hapa hii miradi
  • Wanafanya electrification au ndio tanesco wanafanya short circuit. na overloading. teh teh teh Huo umeme uko wapi?
  • inaonyesha poor project management and planning. Kwa nini wasisimamishe hiyo miradi hizo fedha waziingize e kwanza kwenye miradi ya kuzalisha huo uememe alafu ndio baadae waje waangalie jinsi ya kuusambaza. Au ndio ugawana umasikini ?


Hizo ni kudanganya wafadhili ili wapewe pesa wale. Mi nashangaa kwa nini wasingesimamisha miradi yote ili angalau wawekeze kwenye uzalishaji hata kwa miaka miwili? Kazi yao ni kununua magari mapya na kupandisha gharama.
 
Hizo ni kudanganya wafadhili ili wapewe pesa wale. Mi nashangaa kwa nini wasingesimamisha miradi yote ili angalau wawekeze kwenye uzalishaji hata kwa miaka miwili? Kazi yao ni kununua magari mapya na kupandisha gharama.


Hahahaha ha ndio hivyo hata hii bajeti ya mwaka huuu kuna mamilioni kibao kwa ajili ya hiyo miradi ya kusambaza mgao wa umeme wilayani .
 
Back
Top Bottom