Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Itakuwa vizuri tanesco na serikali ya CCM zibaidiliehse majina ya miradi yake inayoendelea hivi sasasa vijijini ma wilayani.
Badala ya kuitwa mradi ya Kusambaza Umeme iiitwe Miradi ya Kusambaza Mgao wa umeme. Au mnaonaje wadau
Mfano uienda kwneye tovuti ya Tanesco utakuta miradi hii
Sasa njiuliza hapa hii miradi
Badala ya kuitwa mradi ya Kusambaza Umeme iiitwe Miradi ya Kusambaza Mgao wa umeme. Au mnaonaje wadau
Mfano uienda kwneye tovuti ya Tanesco utakuta miradi hii
- Electirification of Malya towns in Kwimba District
- Electrification of Kilindi District in Tanga region
- Electrification of Bahi District in Dodoma region
- Electrification of Uyui District in Tabora region
- Electrification of Matema Beach in Kyela District
Sasa njiuliza hapa hii miradi
- Wanafanya electrification au ndio tanesco wanafanya short circuit. na overloading. teh teh teh Huo umeme uko wapi?
- inaonyesha poor project management and planning. Kwa nini wasisimamishe hiyo miradi hizo fedha waziingize e kwanza kwenye miradi ya kuzalisha huo uememe alafu ndio baadae waje waangalie jinsi ya kuusambaza. Au ndio ugawana umasikini ?