Jenister Joakim Mhagama na Mulugo ni pipa na mfuniko wake! Mimi naichukulia kama hujuma, Alianza mungai kuua elimu ya Tanzania! Since then tumeshuhudia Zero za kutisha! Tumeshuhudia baraza la mitihani liki wafelisha kwa makusudi baadhi ya wanafunzi! Tumeshuhudia baadhi ya shule zikibebwa kwenye mitihani ...Tumeshuhudia watoto zaidi ya 5000 wamefaulishwa ingali hawajui kusoma wala kuandika! Tumeshuhudia Waalimu wakilipwa mishahara duni kuliko watumishi wengine wote! ...WOTE tunafahamu kuwa ELIMU ndiyo msingi na ufunguo wa maendeleo ya mwanaadamu, iweje elimu inachakachuliwa kiasi hiki? Kwanini tusiichukulie hii kama hujma za kutufanya Taifa la watumwa tusioweza kujitegemea wavivu wa kufikiri?... something should be done tena very soon!