Tangazo la serikali kuhusu mishahara mipya

Tangazo la serikali kuhusu mishahara mipya

Mwanasazi

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
242
Reaction score
69
Habari zenu wakuu,

Nimesikia kuwa tayari waziri wa Kazi mama Kabaka ameshatangaza Tangazo la serikali kuhusu mishara mipya, kwa wenye kulijua suala hili zaidi naomba mtusaidie kama kweli hilo tangazo limtoka na kama limetoka ni namba ngapi na la tarehe gapi (GN no.ngapi).

By the way Naomba kuuliza ijapokuwa waziri alisema bungeni kwenye speech ya bajeti, je inawezekana ikatumukia ndio tamko rasmi na waajiri kuanza kulipa au mpaka itangazwe kwenye G.N ndio ianze rasmi???
 
Hizo stori tumezichoka hakuna kitu kinachoele eleweka we all are blind nothing we know.
 
mkuu hatujasikia kitu kama hicho hayo ni maneno matupu.
 
mwaka huu serikali haitaongeza kitu kwenye mishahara.makusanyo ya mapato ni madogo ukilinganisha na matumizi.la msingi watu wajitume kufanya kazi pato la serikali liongezeke mtaongezwa hzo pesa.chapa kazi mdau.hakuna nyongeza ya salary.
 
mwaka huu serikali haitaongeza kitu kwenye mishahara.makusanyo ya mapato ni madogo ukilinganisha na matumizi.la msingi watu wajitume kufanya kazi pato la serikali liongezeke mtaongezwa hzo pesa.chapa kazi mdau.hakuna nyongeza ya salary.

Na ile 24% ilyotangazwa bungen na wazr wa u2mish, inamaana ni fix? 26% iliyotangazwa bungen na bajet kuu, kuwa imeongezwa kwenye mishahara nayo ni fix? Acha kutuzngua.
 
Hiyo 26% ni ongezeko kwa bajeti ya mshahara in general lkn hawajaweka waz kuhusu sekta mbalimbali.
 
Back
Top Bottom