Akurutogo
Senior Member
- Aug 29, 2013
- 199
- 103
Mungu hajawahi kumdharaumtu, kila kiumbe kina makusudi yake hapa Duniani hakuna kosa wewe kuwa mwafrika au mkushi ktk biblia.Sawa tu ili mradi mungu mwenyewe amechangia
Mungu hajawahi kumdharaumtu, kila kiumbe kina makusudi yake hapa Duniani hakuna kosa wewe kuwa mwafrika au mkushi ktk biblia.Sawa tu ili mradi mungu mwenyewe amechangia
mkuu amini uzuri wa rangi sio utashi ambao mtu anazaliwa nao ni invention tuu uliyoikuta tangu ukiwa mdogo na hauwez ibadilisha coz ishastick kichwani.utaonaje uzuri kwenye kitu ambacho hushaaminishwa ni kibaya? mimi siku hizi nikimuona mtu kavaa suruali pana naona kachukiza though zamani hayo ndo yalikuwa mapigo ya kutokea na ndo fashion na nilikuwa naona wamependeza.so naamini vtu vingi tunaviona vzuri ni kwa sababu tumeaminishwa kuwa ni vizuri.ila tukiondoa mambo ya mzungu na mu Africa mtu mweupe na mweusi ni nani anayevutia?
assume labda kwenye hii dunia tulikuwa wa Africa tu hakuna wazungu, wa africa weupe wasingependwa zaidi ya weusi ti titii??
ila tukiondoa mambo ya mzungu na mu Africa mtu mweupe na mweusi ni nani anayevutia?
assume labda kwenye hii dunia tulikuwa wa Africa tu hakuna wazungu, wa africa weupe wasingependwa zaidi ya weusi ti titii??
au na ww ni mwarabu nn?Tangazo zuri halina ubaya wowote.tuache kupanick
Mie sijaona kama kuna ubaguzi hapo. Tatizo ndani ya akili yako uko inferior to other race.For the first time nasema aliyetengeza na aliyerusha hilo tangazo ni WAJINGA sana maana wana genes za ubaguzi wa kiwango cha juu kabisa. Yaanai wanasema waafrica tunapashwa kufuliwa / kucream tuondoe rangi yetu ya asili ambayo kwao ni uchafu na tuwe weupe yaani wasafi!!!!!!!!!!!!!!. Pumbavu sana.
TCRA mko wapi au mnashughulika na wa wanaJF tuuuu!!!!!!!!!!!!! na Whats up!!!!!!!!!!!!!!!!
For the first time nasema aliyetengeza na aliyerusha hilo tangazo ni WAJINGA sana maana wana genes za ubaguzi wa kiwango cha juu kabisa. Yaanai wanasema waafrica tunapashwa kufuliwa / kucream tuondoe rangi yetu ya asili ambayo kwao ni uchafu na tuwe weupe yaani wasafi!!!!!!!!!!!!!!. Pumbavu sana.
TCRA mko wapi au mnashughulika na wa wanaJF tuuuu!!!!!!!!!!!!! na Whats up!!!!!!!!!!!!!!
kwani TCRA wanaondoa uhalisia wa tangazo akili za kichina hizi ni shida
Wehu hawaMie sijaona kama kuna ubaguzi hapo. Tatizo ndani ya akili yako uko inferior to other race.
honestly rangi nyeupe au brown inavutia kuliko nyeusiIna maana dark ni uchafu
na huyo kijana aliyekubali kuWa part ya ubaguzi ni jipu
Na kikubwa ni infiriority complex tu ndio inayo tusumbuahonestly rangi nyeupe au brown inavutia kuliko nyeusi
yeah, sema wanaume weusi wanavutia kuliko weupe kwa sababu wanaonekana more masculineNa kikubwa ni infiriority complex tu ndio inayo tusumbua
hapo wewe ungelifanya kwa shilingi ngapi?Limekaa kibaguzi huyu mwao mwafrika Naye... Njaa kali