Tangazo la NMB linalorushwa Clouds lenye sauti ya rais Magufuli imekaaje?

Bahimba

JF-Expert Member
May 8, 2013
510
346
Wadau kwanza tujipe pole na mikikimikiki ya hapa na pale katika kipindi kizima cha weekend hasa iliyotokea huko Dodoma, nimesema pole na sio hongera kwa sababu naamini yalotokea Dodoma wengi wenu imewaumiza kwa namna moja au nyingine kwa sababu ni mambo ambayo hayajazoeleka kwa wana CCM
Sasa naomba nije kwenye hoja sasa, nimekua nikisikia tangazo la bank ya NMB kupitia clouds, na tangazo hilo lina husisha sauti ya Mh Rais JPM, sasa kwa wataalamu wa mambo naomba mnisaidie, hii imekaaje Rais anaipromote bank flani tena kwa msisitizo kabisa akiwaomba wananchi kutumia bank ya NMB na si bank nyingine, hii ina impact gani kwa bank nyingine zilizopo nchini, nawasilisha.
 
Wadau kwanza tujipe pole na mikikimikiki ya hapa na pale katika kipindi kizima cha weekend hasa iliyotokea huko Dodoma, nimesema pole na sio hongera kwa sababu naamini yalotokea Dodoma wengi wenu imewaumiza kwa namna moja au nyingine kwa sababu ni mambo ambayo hayajazoeleka kwa wana FISIEM,
Sasa naomba nije kwenye hoja sasa, nimekua nikisikia tangazo la bank ya NMB kupitia clouds, na tangazo hilo lina husisha sauti ya Mh Rais JPM, sasa kwa wataalamu wa mambo naomba mnisaidie, hii imekaaje Rais anaipromote bank flani tena kwa msisitizo kabisa akiwaomba wananchi kutumia bank ya NMB na si bank nyingine, hii ina impact gani kwa bank nyingine zilizopo nchini, nawasilisha.
Aliongea mtwara...haikuwa sahihi kabisa.
Mbaya sana ktk financial institution business in Tanzania
 
Hivi na suala la vyeti vya Bashite clouds wanalitangaza...!!??







Tafakari...!!
IMG_20170312_184026.jpg
 
clouds nao hawana vyeti..elimu ndogo tuu...kama kipanya kwenye michoro vingine na kwenye kipindi vingine yani kinyonga
 
Ni kutokujielewa tu kwa watu wa habari na pia waliokaribu na mkulu. Nadhani wajikosoe sasa maana wanaharibu mpaka unashangaa na hili Dogo hawalioni???!
 
Naelewa ni tatizo na siyo sahihi, mara nyingi viongozi wanasema haya mambo kwa falsafa ya kidplomasia.
Kwa.mfano, angeweza kusema, banki zetu zinakua vizuri na hudumu zake zipo vizuri akatoa mfano ni NMB naomba tuendelee kuzitumia benki zetu.

Hapo, anakuwa ameitaja NMB bila kuumiza zile za binafsi.

Ila sasa majanga yake ni hapa!

Mrejesho wake utauona siku serikali ikitaka kukopa hela kutoka vyanzo vya ndani mfano banki binafsi ambazo zimesemwa zihamwe na watu wote.

Tutafutane baadaye na log off!
 
"Ukienda Dukani toa lisit"..na hii hapo vp
Mi naona hapana shida kama walimualika na wakachukua crip inayo promote hakuna maneno
 
Hii si sawa kupromote bank moja huku zingine ukiziacha zikiwa kama yatima.
 
Msishangae tu hapo juzi wamewataka wananchi kununua kwa wingi hisa za vodacom.
 
Hayo Ni Makosa.

Kuna Siku moja Mzee Mizengo Kayanza Peter Pinda aliwahi kuvalishwa jezi ya Vodacom kwny Marathon iliyodhaminiwa na Vodacom baada ya Muda mfupi alivuliwa baada ya kugundua Makosa yake.
 
Back
Top Bottom