Tangazo la maelezo ya ajira - MSD

HONGERENI MULIO ITWA KWENYE USAILI...mimi hakuna cha sms wala kupigiwa simu,..ndo ishakula kwangu
 
HONGERENI MULIO ITWA KWENYE USAILI...mimi hakuna cha sms wala kupigiwa simu,..ndo ishakula kwangu
Usikate tamaa mkuu, endelea kuomba maeneo mengine zaidi. Inawezekana haikuwa bahati yako hiyo.
 
Tupe mrejesho wa interview...vipi mlikua wengi ?..pepa ilikuaje
 
Dahhhhhhhhh........!!!!!hawa jamaa wameitwa kweli bhana,kuna brooo amenipa mtonyo kwamba kuna rafiki yake ametumiwa msg pamoja na kupigiwa simu ametoka kufanya juzi nyomi la maana,ANYWAY TULIOKOSA KUITWA TUSIKATE TAMAA .
 
Tupe mrejesho wa interview...vipi mlikua wengi ?..pepa ilikuaje
kusema kweli Software Developer hatukuwa wengi total tulikua 39, Accountants na Pharmacist ndo walikua wengi sana hata pepa walifanya kwa batch.
pepa was amptitude kupima uwezo wa kufikiri no field question, tulipiga kwa computer 20 min tu ,maswali 50 na ni kuchagua.

wamesema tukifikia alama zao bas watafanya utaratibu kama huu waliotumia kutuita
 
Tupe mrejesho wa interview...vipi mlikua wengi ?..pepa ilikuaje
kusema kweli Software Developer hatukuwa wengi total tulikua 39, Accountants na Pharmacist ndo walikua wengi sana hata pepa walifanya kwa batch.
pepa was amptitude kupima uwezo wa kufikiri no field question, tulipiga kwa computer 20 min tu ,maswali 50 na ni kuchagua.

wamesema tukifikia alama zao bas watafanya utaratibu kama huu waliotumia kutuita
 
Mkubwa kwa kada za administrative officer, marketing and sales vp walikuepo au, niliapply@ meshack
 
Mkubwa kwa kada za administrative officer, marketing and sales vp walikuepo au, niliapply@ meshack
mkuu sina hakika na hilo, ila tulikua kwenye hall moja ivi wote ndipo wakatuambia IT waende huku, accounts waende huku na phamarcist vivyo hivyo, IT tulikua wa mwisho tulipotoka ile hall ikawa empty..
 
Msd in hustori ya kuingiliwa na matapeli kwenye ajira
 
ila na nyie mmezidi toka march mpaka leo mnaendelea na mchakato,RAIS ashakataza haya mambo ya mchakato......muda mrefu mnaochukua toka kutangaza kazi na kuwaida ndo yanaleta mazingira haya ya utapeli na rushwa ndani yake.Kama hamjajipanga msitangaze mpaka mjipange wenyewe ndani ndo mtangaze.....HAMKO SEROIUS!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Vipi hao accountants nao walifanya kwa computer au ilikuwa ni written paper nao vipi waliulizwa Maswali kama yenu au kulikuwa na tofauti ya Maswali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…