Tangazo la madereva 400

Tangazo la madereva 400

Skin7

Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
24
Reaction score
11
Wakuu kama kuna yeyote aliyeitwa katika usaili wa Madereva.

Tangazo liliripoti nafasi 400,

Kuna ndugu yangu ali-Apply

Dogo ananisumbua saana

Vipi, kuna ambao waliitwa?

Kama yupo anayefahanu anijuze waungwana
 
Sema Wewe Ndio Unaitaji Kujua.Na sio Dogo.Rekebisha Thread Yako Nikwambie Wanaitw lini
 
Mkuu njaa haifichwi hapo dogo lako hilo ni wewe mwenyewe usione aibu kazi si unaitafuta wewe
 
Wakuu kama kuna yeyote aliyeitwa katika usaili wa Madereva.

Tangazo liliripoti nafasi 400,

Kuna ndugu yangu ali-Apply

Dogo ananisumbua saana

Vipi, kuna ambao waliitwa?

Kama yupo anayefahanu anijuze waungwana
tupo barabaran mkuu tunapiga kaz...japo allowance zao sio kubwa sana lakin kwa kuanzia sio mbaya...
 
Zilishatoka kitambo na kwanini ujifanye sio ww, unamfraisha nani?
 
Back
Top Bottom