Tangazo la kuuza nyumba za mfuko wa pspf

Tangazo la kuuza nyumba za mfuko wa pspf

Naona madirisha ya vioo kwenye nyumba zenyewe hizo, je na umeme ni waPSPF au tutemegee huu huu wa Badra Masudi?

Kwa 25m hakyanani nafyatua kanyumba km hako ka vyumba vi3, huu mpango sio wa kuuita GHARAMA NAFUU wallah vile
 
Milioni 52 halafu wanasema eti nyumba ya bei nafuu....!
 
Hizi nyumba zinawafaa watu wavivu.

Bei yake sio kubwa sana ukizingatia kuwa usimbufu wa kusimamia na kutafuta vifaa pia unaulipia.

Ila tatizo kubwa ni kwamba nyumba zimejengwa kimachinga, hakuna pavement. Katika dunia ya kustaarabu huwezi kusema unauza nyumba zilizokamilika wakati mtu akifungua mlango tu anakutana na vumbi au tope! Upo uwezekano kwamba gharama ya pavement imejumuishwa kwenye gharama kuu, halafu pavement zimeyeyukia kwa msimamizi.

Bottomline: mimi kwa vile sio mvivu siwezi kununua nyumba hizi. Vilevile siwezi kununua nyumba ambayo haina pavement kwa bei ya nyumba kamili.
 
Hizi nyumba zinawafaa watu wavivu.

Bei yake sio kubwa sana ukizingatia kuwa usimbufu wa kusimamia na kutafuta vifaa pia unaulipia.

Ila tatizo kubwa ni kwamba nyumba zimejengwa kimachinga, hakuna pavement. Katika dunia ya kustaarabu huwezi kusema unauza nyumba zilizokamilika wakati mtu akifungua mlango tu anakutana na vumbi au tope! Upo uwezekano kwamba gharama ya pavement imejumuishwa kwenye gharama kuu, halafu pavement zimeyeyukia kwa msimamizi.

Bottomline: mimi kwa vile sio mvivu siwezi kununua nyumba hizi. Vilevile siwezi kununua nyumba ambayo haina pavement kwa bei ya nyumba kamili.

Wakati mwingine huwa unaandika vitu vyenye akili, hasa ukijivua akili za Siasa.
 
Mbona sioni fenz car paking?

Hahaha ha ha ha....!!!! 2ndgeration unachekesha sana. Unakuta mtu kwao/kwake mbavu za mbwa halafu anacriticise wakati mwingine you need to be analytical and reasonable maana bei za viwanja zenyewe ziko juu sana siku hizi. Nadhani tuwe naona fursa na kuichangamkia maana watu kama wewe nina uhakika huko tuendako (ie miaka kama 10 hivi hicho unachokiona hakifai wajanja wanao ona
fursa watakuwa wameshawahi na kufanya waendelee ya maana Wakati wewe uko humid jamvini unapiga makelele na kuwaita wenye akili mafisadi.
Chukua nyumba pangisha itajilipa yenyewe maana hiyo ni long-term investment.
Hivi hivi NHC ealipokuwa anajenga nyumba zao watu Haikuwa wanazibeza sasa hivi walewale wanatamani wazipate hata kwa kupangisha maana walijikuta wanauziwa viwanja mabondeni sasa matokeo yake sasa hivi nyumba zao zinaelea Baada ya kukumbwa na mafuriko.
Halafu kitu kingine ni wangapi wanaokaa katika nyumba zenye pavements au fance? Achilia mbali car park....!!! Wakati mwingine tuwe na tabia ya kuappriciate juhudi zinazofanyika maana si wote watakao furahishwa kwa Wakati mmoja. Wapo watakao pendezwa na utaratibu huu maana kila mmoja ana taste na preference zake. Sasa wewe kaa hapo usubiri ujengewe ghorofa wenzako tunasonga mbele.
 
Kama vipi katafute viwanja kigamboni kama hutatoka nduki.
Watanzania bwana Wakati mwingine tunashangaza sana kama huwezi ni wewe wengine wataweza
 
Kama vipi katafute viwanja kigamboni kama hutatoka nduki.
Watanzania bwana Wakati mwingine tunashangaza sana kama huwezi ni wewe wengine wataweza

kabisa mkuu,kwani wasahili wanasema "sema sina pesa,sio hatuna pesa"
 
Je, mshahara wa ngazi gani ili uweze kununua nyumba hizi? Au ni kwa wale walioko maofisini tu, maana kwa kipato chetu akina sisi mmmh! hapa hutii mguu
 
Je, mshahara wa ngazi gani ili uweze kununua nyumba hizi? Au ni kwa wale walioko maofisini tu, maana kwa kipato chetu akina sisi mmmh! hapa hutii mguu

Kigezo si kiwango cha mshahara, hebu Soma tangazo lote kama lilivyo kwenye hili bandiko au kwenye website yao Mbona ni conditions zinazoeleweka. Hebu tusiwe wavivu kusoma.
Ama kweli ukitaka kumpoteza mtanzania mpe kitu chenye maandishi mengi maana humo ndo kuna majibu yote ila still atakuja kukuuliza kumbe majibu yote anayo au ndo wale wa division five? Ambao hata majina yao wanamuuliza jirani Namna ya kuandika.
 
Back
Top Bottom