ELIMU PESA
Member
- Jul 22, 2017
- 62
- 36
MWAMBA’S GROUP U MK
TANGAZO LA NAFASI YA KAZI
MWAMBA’S GROUP imesajiriwa katika kuendesha shuguli za kiuchumi na kijamii. Ilisajiriwa rasmi 17 Mwezi November, mwaka 2014 kwa namba ya Usajili MG/MMC/CBO/00044.
Katika kutimiza majukumu yake MWAMBA’S GROUP inatarajia kufungua ofisi itakayojihusisha na huduma ya pesa kwa njia ya mtandao - Morogoro. Hivyo basi MWAMBA’S inatafuta kujaza nafasi moja (1) ya Huduma kwa wateja (Customer care) mwenye uwezo na hali ya kufanya kazi.
1.O SIFA ZA MWOMBAJI
i. Awe amehitimu elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea
ii. Awe na uzoefu wa kufanya kazi ya huduma ya pesa kwa njia ya mdandao angalau miezi (3) mitatu na kuendelea
iii. Awe anajua kutumia computer vizuri (Microsoft Word, Excel na internet).
iv. Awe anaifahamu vizuri MWAMBA’S
1,1 MAJUKUMU YA KAZI
i. Kuhudumia wateja wote kwa wakati katika kuwapa huduma ya pesa hususa kupitia M-PESA, TIGO – PESA, AIRTEL MONEY, CRDB NA NMB
ii. Kufunga mahesabu ya kila siku, wiki, mwezi na mwaka
iii. Kuhudumia wanachama wa MWAMBA’S
iv. Kuandaa taarifa ya mapato na matumizi ya mwezi ya MWAMBA’S
v. Kufanya kazi nyingine atakayopangiwa na msimamizi wa kazi.
1.2 MSHAHARA
MWAMBA’S inatoa mshahara zaidi ya kiwango cha kima cha chini kwa mjibu wa sheria ya Tanzania. Hivyo, kiwango halisi kitajadiliwa kipindi cha usahili (Negotiation).
1.3 MASHARTI YA JUMLA
i. Mwombaji awe Mtanzania mwenye umri usiopungua miaka kumi na nane (18) na usiozidi miaka arobaini na tano (45) na awe hajawahi kupatikana na kosa lolote la jinai, kufungwa jera au kufukuzwa kazi.
ii. Mwombaji awe anaishi au awe tayari kufanya kazi Morogoro
iii. Mwombaji aandike barua ya maombi na aambatanishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (Detailed CV) yenye anuani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini watatu (3) wa kuaminika na wanaoijua MWAMBA’S lakini wasiwe mmoja wa wamiliki wa MWAMBA’S.
iv. Kwa hatua hii vyeti vya taaluma havihitajiki
v. Mwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 4.5.2018 Saa 12:00 jioni. Watakao tuma baada ya mda huo maombi yao hayatapokelewa.
vi. Watakao kidhi vigezo watapigiwa simu kwa hatua nyingine ndani ya wiki mbili baada ya kufunga maombi. Ukiona mda huo hujapigiwa simu utakuwa hujabahatika jaribu siku nyingine.
Maombi yote yatumwe kwa njia ya mtandao (e-mail): mwambasgroup@gmail.com
N.B Waombaji waliohitimu mafunzo ya Astashahada/cheti katika moja wapo ya fani zifuatazo: Usimamizi wa fedha, Huduma kwa wateja, biashara, uhasibu, Utawala, Sheria, Maendeleo ya jamii na sanaa, elimu ya jamii na computer kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na serikali wanasifa ya ziada.
TANGAZO LA NAFASI YA KAZI
MWAMBA’S GROUP imesajiriwa katika kuendesha shuguli za kiuchumi na kijamii. Ilisajiriwa rasmi 17 Mwezi November, mwaka 2014 kwa namba ya Usajili MG/MMC/CBO/00044.
Katika kutimiza majukumu yake MWAMBA’S GROUP inatarajia kufungua ofisi itakayojihusisha na huduma ya pesa kwa njia ya mtandao - Morogoro. Hivyo basi MWAMBA’S inatafuta kujaza nafasi moja (1) ya Huduma kwa wateja (Customer care) mwenye uwezo na hali ya kufanya kazi.
1.O SIFA ZA MWOMBAJI
i. Awe amehitimu elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea
ii. Awe na uzoefu wa kufanya kazi ya huduma ya pesa kwa njia ya mdandao angalau miezi (3) mitatu na kuendelea
iii. Awe anajua kutumia computer vizuri (Microsoft Word, Excel na internet).
iv. Awe anaifahamu vizuri MWAMBA’S
1,1 MAJUKUMU YA KAZI
i. Kuhudumia wateja wote kwa wakati katika kuwapa huduma ya pesa hususa kupitia M-PESA, TIGO – PESA, AIRTEL MONEY, CRDB NA NMB
ii. Kufunga mahesabu ya kila siku, wiki, mwezi na mwaka
iii. Kuhudumia wanachama wa MWAMBA’S
iv. Kuandaa taarifa ya mapato na matumizi ya mwezi ya MWAMBA’S
v. Kufanya kazi nyingine atakayopangiwa na msimamizi wa kazi.
1.2 MSHAHARA
MWAMBA’S inatoa mshahara zaidi ya kiwango cha kima cha chini kwa mjibu wa sheria ya Tanzania. Hivyo, kiwango halisi kitajadiliwa kipindi cha usahili (Negotiation).
1.3 MASHARTI YA JUMLA
i. Mwombaji awe Mtanzania mwenye umri usiopungua miaka kumi na nane (18) na usiozidi miaka arobaini na tano (45) na awe hajawahi kupatikana na kosa lolote la jinai, kufungwa jera au kufukuzwa kazi.
ii. Mwombaji awe anaishi au awe tayari kufanya kazi Morogoro
iii. Mwombaji aandike barua ya maombi na aambatanishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (Detailed CV) yenye anuani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini watatu (3) wa kuaminika na wanaoijua MWAMBA’S lakini wasiwe mmoja wa wamiliki wa MWAMBA’S.
iv. Kwa hatua hii vyeti vya taaluma havihitajiki
v. Mwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 4.5.2018 Saa 12:00 jioni. Watakao tuma baada ya mda huo maombi yao hayatapokelewa.
vi. Watakao kidhi vigezo watapigiwa simu kwa hatua nyingine ndani ya wiki mbili baada ya kufunga maombi. Ukiona mda huo hujapigiwa simu utakuwa hujabahatika jaribu siku nyingine.
Maombi yote yatumwe kwa njia ya mtandao (e-mail): mwambasgroup@gmail.com
N.B Waombaji waliohitimu mafunzo ya Astashahada/cheti katika moja wapo ya fani zifuatazo: Usimamizi wa fedha, Huduma kwa wateja, biashara, uhasibu, Utawala, Sheria, Maendeleo ya jamii na sanaa, elimu ya jamii na computer kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na serikali wanasifa ya ziada.