Jezebel
JF-Expert Member
- May 7, 2016
- 218
- 432
Hasira za kutokua na TV.Kaangalie kwa jirani broMtoa mada ni MTU wa ajabu,unadhani kila MTU hilo tangazo analijua au kila MTU ana muda wa kushinda na tv?weka link au wimbo wenyewe.
Hasira za kutokua na TV.Kaangalie kwa jirani broMtoa mada ni MTU wa ajabu,unadhani kila MTU hilo tangazo analijua au kila MTU ana muda wa kushinda na tv?weka link au wimbo wenyewe.
HahahahjaCoca-Cola is the best company when it comes to adverts... Sio ndugu zetu wa magodoro na sabuni ya sunda inter.
Ha ha ha hanaitwa profesa chapati!!!!
Muda wa kuangalia tv ndio sina kabsa.Hasira za kutokua na TV.Kaangalie kwa jirani bro
Mmh hilo tangazo kweli hujawai liona?Mtoa mada ni MTU wa ajabu,unadhani kila MTU hilo tangazo analijua au kila MTU ana muda wa kushinda na tv?weka link au wimbo wenyewe.
Ndio maana chama twawala kipo madarakani mpaka sasaKweli nimeamini kuna watu akili zao zipo kushoto sasa we ndugu yetu unakosoa kitu ambacho kila mwenye ufahamu hapa amecomment uhalisia unataka link ya soundtrack ili ufanye nini ? Au ndio utaamini kweli nchi hii ina kazi ngumu juu watu Kama hawa
Sent from mTalk
Sijalielewa mwisho baada ya brother kuisukuma chupa ya soda ikamwagika kidogo,lakini wakati anaondoka chupa ikaonekana imejaaHili tangazo la Coca Cola 'Hey brother' limetengenezwa kwa ustadi na ubunifu mkubwa sana
Kwa kuanza tu wametumia soundtrack nzuri 'Hey Brother' ulioimbwa na kundi la Space Campa wakimshirikisha Josh Jones.
Huu wimbo hata mimi naupenda.
Angalia rangi za nguo, viatu na kofia walizovaa, headphones na ile game pad aliyoshika yule dogo; vyote hivyo vinashahabiana na brand ya Coca cola
Angalia vizuri pale kaka mtu aliyevalia kiatu cheusi akimkanyaga mdogo wake aliyevalia kiatu chekundu.Hapo kuna mantiki ya upinzani wa kibiashara.
Hawakuishia hapo, angalia tena pale kaka mtu alipokuja kumtetea mdogo wake tazama vizuri nguo na viatu walizovaa wale ma-bullies na zile walizovaa the two brothers kuna kitu hapo wanakiashiria.
Kweli biashara ni ubunifu
wabongo buana kwakupenda vitu visivyo kuwa na maana ndowenyeweMimi chakula kilikuwa hakipandi bila kuliangalia hivyo nililidowload kwenye simu yangu hapa nilipo pia naliangalia
akasema NI TIGO PESAUnaagaliaga nini? Nikushauri kitu? Hivyo unavyohusudu kuviangalia wewe, huwa vinapofusha.Muda wa kuangalia tv ndio sina kabsa.
Itakua poa kama utakua unaangalia tv kulivizia. Usipende miteremkoMtoa mada ni MTU wa ajabu,unadhani kila MTU hilo tangazo analijua au kila MTU ana muda wa kushinda na tv?weka link au wimbo wenyewe.