poppah
JF-Expert Member
- Dec 19, 2014
- 630
- 548
Hili tangazo la Coca Cola 'Hey brother' limetengenezwa kwa ustadi na ubunifu mkubwa sana
Kwa kuanza tu wametumia soundtrack nzuri 'Hey Brother' ulioimbwa na kundi la Space Campa wakimshirikisha Josh Jones.
Huu wimbo hata mimi naupenda.
Angalia rangi za nguo, viatu na kofia walizovaa, headphones na ile game pad aliyoshika yule dogo; vyote hivyo vinashahabiana na brand ya Coca cola
Angalia vizuri pale kaka mtu aliyevalia kiatu cheusi akimkanyaga mdogo wake aliyevalia kiatu chekundu.Hapo kuna mantiki ya upinzani wa kibiashara.
Hawakuishia hapo, angalia tena pale kaka mtu alipokuja kumtetea mdogo wake tazama vizuri nguo na viatu walizovaa wale ma-bullies na zile walizovaa the two brothers kuna kitu hapo wanakiashiria.
Kweli biashara ni ubunifu
Kwa kuanza tu wametumia soundtrack nzuri 'Hey Brother' ulioimbwa na kundi la Space Campa wakimshirikisha Josh Jones.
Huu wimbo hata mimi naupenda.
Angalia rangi za nguo, viatu na kofia walizovaa, headphones na ile game pad aliyoshika yule dogo; vyote hivyo vinashahabiana na brand ya Coca cola
Angalia vizuri pale kaka mtu aliyevalia kiatu cheusi akimkanyaga mdogo wake aliyevalia kiatu chekundu.Hapo kuna mantiki ya upinzani wa kibiashara.
Hawakuishia hapo, angalia tena pale kaka mtu alipokuja kumtetea mdogo wake tazama vizuri nguo na viatu walizovaa wale ma-bullies na zile walizovaa the two brothers kuna kitu hapo wanakiashiria.
Kweli biashara ni ubunifu