Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,701
Labda ni utani wa kikabila, huenda mtoa mada ni mtani wa Wahehe!Moderator plz hii si mada ya kuipalilia inadhalilisha nisingependa iendelee kwani huu ni ubaguzi na ni ukabila na ni inami yangu tukitaka kuanza haya hatutafika mabali na hili jamvi si la mtu mmoja la litatumika vibaya sana, kuna makabila yakitajwa baadhi ya visifa vyao humu hii ni vita, so plz STOP IT!