UKAWA chondechonde, msitudanye sisi watu wazima. Niko tayari kuutetea ukweli huu hata aje nani. Kama mmeshindwa kuzuia wizi wa kura za katiba ya CCM, kwa wajumbe wenu 67 wa UKAWA, mtawezaje kuzuia wizi wa kura wa katiba hiyo itakapopigwa nchi nzima. Haiingii akilini mwangu na wala haitaingia, ukweli huu unabaki kama ulivyo.
Msituambie mnasubiri wananchi kuikataa. Mtalinda kura vipi nchi nzima wakati mmeshindwa kulinda za watu wenu 67. Nimekasirika sana. UKAWA mmekuwa kama siyo wanasiasa. Hamkuwa strategic enough kwa hilo la kuzuia wizi wa kura. Bora mnyamaze tu.
Rasimu ya Warioba;c/o Maoni ya Wananchi | Bunge maalum la CCM;imebakiza au Kufutwa Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba/Maoni ya Wananchi | Rasimu ya Chenge na Kamati yake C/O Sita wanapendekeza |
Ibara 1.............................................. | 1. Imefutwa | ...................................... |
2.;......................................... | 2.Imefutwa | ................................... |
Hapa ninachosema ni ukweli mtupu hata kama mchungu, kwetu Tanzania kura ya HAPANA na ndiyo yote sawa. Nani atalinda kura nchi nzima wakati wameshindwa kulinda za watu wao 67, tell me, Mie nasema UKAWA wanyamaza kimyaUsiwawekee wananchi maneno mdomoni, subiri wakati wa kura ya maoni tuone kama wananchi hawataipitisha katiba hiyo. Usijifanye kuwa wewe ndiyo mwananchi pekee hapa nchini au unakibali cha kufikiria kwa niaba ya wananchi, kila mwananchi ana akili zake na ana maamuzi yake na siyo lazima afuate mawazo yako. Pia kukataa mawazo ya wengine siyo uzuzu ni uhuru wa maamuzi na ni demokrasia vinginevyo kulazimisha kila mtu afuate unayotaka wewe ni udikteta na ndiyo uzuzu wenyewe, kwa kuwa TZ hii hutapata wa kufuata hayo mawazo yako.
UKAWA wameshindwa kusoma picha ndogo ya watu 67, wataweza kusoma picha kubwa ya watu mioni tano na zaidi. Bora upigwe Ban, lakini leo nitawapa ukweli UKAWA, wakitaka wameze, wakitaka wateme shauri yao. Tena nasema waufyate.Usiwatafutie Ban watu bure!
Mie nilidhani tangazo la maana kumbe porojo!
Angalia picha kubwa na siyo hesabu hizi za akina S.Sita,wacha wafanye lao,hujui kuwa hawajaanza leo kuiba kura?
Ubungo,Kawe,Arusha,Mbeya,Iringa,n.k watu walilinda kura zao na matokeo huhitaji Mganga wakienyeji kukutabiria.
Wito wangu kwa UKAWA; Andaeni Kijitabu,na kuisambaza Kila Kata kuhusiana na Uchakachuaji huu wa Rasimu ya Warioba ambayo msingi wake ni Maoni ya Wananchi.Na baada ya hapo uhamasishaji kupitia mikutano ya hadhara ufuatie nyuma yake;Ukombozi hauko mbali na ni suala la muda tu.
Mfano.Kijitabu.
Rasimu ya Warioba;c/o Maoni ya Wananchi
Bunge maalum la CCM;imebakiza au Kufutwa Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba/Maoni ya Wananchi
Rasimu ya Chenge na Kamati yake C/O Sita wanapendekeza
Ibara 1..............................................
1. Imefutwa
......................................
2.;.........................................
2.Imefutwa
...................................
CC. UKAWA Kurugenzi ya Habari
Nikisemaga nchi hii wapinzani mtasubiri saaaana mnanikoromea hizi ni enzi za money power zama za people's power zilishapitagaUKAWA chondechonde, msitudanye sisi watu wazima. Niko tayari kuutetea ukweli huu hata aje nani. Kama mmeshindwa kuzuia wizi wa kura za katiba ya CCM, kwa wajumbe wenu 67 wa UKAWA, mtawezaje kuzuia wizi wa kura wa katiba hiyo itakapopigwa nchi nzima. Haiingii akilini mwangu na wala haitaingia, ukweli huu unabaki kama ulivyo.
Msituambie mnasubiri wananchi kuikataa. Mtalinda kura vipi nchi nzima wakati mmeshindwa kulinda za watu wenu 67. Nimekasirika sana. UKAWA mmekuwa kama siyo wanasiasa. Hamkuwa strategic enough kwa hilo la kuzuia wizi wa kura. Bora mnyamaze tu.
Ni ya UKAWA wote, kama siyo UKAWA ni kweli hayakuhusu, sepaHayatuhusu
There you are. Wao wanajua watu wao wanatafutwa, it was very simple, kuapa kisheria na kutangaza hadharani kuwa hakuna atakayepiga kura, na kuwa wote hawaungi mkono katika ya CCM. Sasa wao walisubiri wapewe kwenye sahani katiba ya wananchi wakati CCM wanasema wanataka kutawala Tz hadi wahakikishe wamekomba raslimali zote za nchi.Nikisemaga nchii wapinzani mtasubiri saaaana mnanikoromea hizi ni enzi za money power zama za people's power zilishapitaga
Mkuu pole ila relax.UKAWA wanalijua hili kwa nini walilala uzingizi. Nasema wanyamaze kabisa. Walishindwaji kujikusanya na kutoa declaration ya kupiga kura ya kuikataa rasmu ya CCM. Kuna mawazo mazuri sana yalitolewa jukwaa jili ili kulinda kura zao, kwa nini hawakufanyia kazi ushauri huo. Sitaki kusikia matamko mengine ya UKAWA, wanyamaze tu, wameniudhi kupita maelezo.
Wacha niwaambie ukweli UKAWA, labda nita-relax. Kiukweli wamekera mno, wameudhi kwa kutokuwa strategic kulinda kura zao 67. Habu fikiria, wameshindwa kulinda kura za wajumbe wao 67, kisiasa na kisheria, watawezaje kulinda kura za HAPANA za mamilioni ya watanzania. Hakuna mantiki yoyote hapa, wanyamaze tu, hiyo ya kusubiri kura za wananchi ni very low idea, it is not an option, wameshindwa tayari.Mkuu pole ila relax.
UKAWA wanalijua hili kwa nini walilala uzingizi. Nasema wanyamaze kabisa. Walishindwaji kujikusanya na kutoa declaration ya kupiga kura ya kuikataa rasmu ya CCM. Kuna mawazo mazuri sana yalitolewa jukwaa jili ili kulinda kura zao, kwa nini hawakufanyia kazi ushauri huo. Sitaki kusikia matamko mengine ya UKAWA, wanyamaze tu, wameniudhi kupita maelezo.
Wacha niwaambie ukweli UKAWA, labda nita-relax. Kiukweli wamekera mno, wameudhi kwa kutokuwa strategic kulinda kura zao 67. Habu fikiria, wameshindwa kulinda kura za wajumbe wao 67, kisiasa na kisheria, watawezaje kulinda kura za HAPANA za mamilioni ya watanzania. Hakuna mantiki yoyote hapa, wanyamaze tu, hiyo ya kusubiri kura za wananchi ni very low idea, it is not an option, wameshindwa tayari.
Amavubi usiukimbie ukweli. Bila kuibiwa kura za ukawa hakuna 2/3 ya kutoka Zanzibar. CCM wamefanikiwa kuiba kura za UKAWA ndiyo wametangaza kupita kwa rasmu, iko wazi mbona. Nimeshasema hapo juu kuwa kama UKAWA wangechukua kiapo cha kisheria ambacho wangefanya kirahisi tu, na kutangazia umma kuwa kiapo walichochukua ni kuwa hawatapiga kura kwa sababu hawaiungi mkono, na kiapo kingeeleza kuwa kama wangepiga kura ni HAPANA. Haujui kuwa kura za UKAWA zimetumika kuchakachua kupitisha katiba ya CCM?Hivi ni nani aliyekwambia kura 67 za Ukawa zimeibiwa? tuanze hapo kwanza
Hivi ni ngumu kuelewa kuwa kiapo cha kisheria kingesaidia kueleza kuwa hawatapiga kura na kama wangepiga ni hapana. Walifanya hili? Ilikuwa ni lazima UKAWA kuwa strategic na kuzuia loop hole yoyote ya kuchakachua kura. Sasa wanatuambia wanasubiri kura za wananchi, watalinda kura za hapana za wananchi wakati wameshindwa kulinda kura zao 67mmhh! Mie siamini kama kuna kitu ambacho UKAWA wangefanya eti kizuie Katiba kupita. Mnawonea bure UKAWA, wamejitahidi kadri ya uwezo wao. Mie nilifikiri sasa mtaelewa kwanini walitoka bungeni badala ya kubaki wakipambana humo humo!!
UKAWA chondechonde, msitudanye sisi watu wazima. Niko tayari kuutetea ukweli huu hata aje nani. Kama mmeshindwa kuzuia wizi wa kura za katiba ya CCM, kwa wajumbe wenu 67 wa UKAWA, mtawezaje kuzuia wizi wa kura wa katiba hiyo itakapopigwa nchi nzima. Haiingii akilini mwangu na wala haitaingia, ukweli huu unabaki kama ulivyo.
Msituambie mnasubiri wananchi kuikataa. Mtalinda kura vipi nchi nzima wakati mmeshindwa kulinda za watu wenu 67. Nimekasirika sana. UKAWA mmekuwa kama siyo wanasiasa. Hamkuwa strategic enough kwa hilo la kuzuia wizi wa kura. Bora mnyamaze tu.
UKAWA wanalijua hili kwa nini walilala uzingizi. Nasema wanyamaze kabisa. Walishindwaji kujikusanya na kutoa declaration ya kupiga kura ya kuikataa rasmu ya CCM. Kuna mawazo mazuri sana yalitolewa jukwaa jili ili kulinda kura zao, kwa nini hawakufanyia kazi ushauri huo. Sitaki kusikia matamko mengine ya UKAWA, wanyamaze tu, wameniudhi kupita maelezo.
UKAWA chondechonde,
msitudanye sisi watu wazima. Niko tayari kuutetea ukweli huu hata aje
nani. Kama mmeshindwa kuzuia wizi wa kura za katiba ya CCM, kwa wajumbe
wenu 67 wa UKAWA, mtawezaje kuzuia wizi wa kura wa katiba hiyo
itakapopigwa nchi nzima. Haiingii akilini mwangu na wala haitaingia,
ukweli huu unabaki kama ulivyo.
Msituambie mnasubiri wananchi kuikataa. Mtalinda kura vipi nchi nzima
wakati mmeshindwa kulinda za watu wenu 67. Nimekasirika sana. UKAWA
mmekuwa kama siyo wanasiasa. Hamkuwa strategic enough kwa hilo la kuzuia
wizi wa kura. Bora mnyamaze tu.
UKAWA wanalijua hili kwa nini walilala uzingizi. Nasema wanyamaze kabisa. Walishindwaji kujikusanya na kutoa declaration ya kupiga kura ya kuikataa rasmu ya CCM. Kuna mawazo mazuri sana yalitolewa jukwaa jili ili kulinda kura zao, kwa nini hawakufanyia kazi ushauri huo. Sitaki kusikia matamko mengine ya UKAWA, wanyamaze tu, wameniudhi kupita maelezo.