Tangazo kwa Bw. Mussa Bendera

Tangazo kwa Bw. Mussa Bendera

jigili

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
351
Reaction score
347
Siku ya Ijumaa kuna mfanyakazi mwenzangu alikuwa anasafiri toka Mlandizi kuja Dar es salaam bahati mbaya kuna abiria mmoja anaitwa Bw. Mussa Bendera kwa mujibu wa nyaraka zake, alimuomba amhifadhie bahasha sababu basi lilikuwa limejaa sana, bahati mbaya huyu Bwana alishuka njiani pasipo kukumbuka bahasha yake.

Kwa mtu yeyote anayemfahamu amwambie apige simu hii hapa 0787840749 ili achukue nyaraka zake.
 
Siku ya Ijumaa kuna mfanyakazi mwenzangu alikuwa anasafiri toka Mlandizi kuja Dar es salaam
bahati mbaya kuna abiria mmoja anaitwa Bw.Mussa Bendera kwa mujibu wa
nyaraka zake, alimuomba amhifadhie bahasha sababu basi lilikuwa na abiria wengi bahati
mbaya huyu Bwana alishuka pasipo kukumbuka bahasha yake.
Kwa mtu yeyote anayemfahamu amwambie apige simu hii
hapa 0787840749 ili achukue nyaraka zake.

Huu ndio ubinadamu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
pekua hizo nyaraka labda Kuna sehemu ameandika namba yasimu au email address au jina la ofisi anayofanyia kazi au physical address ya makazi nk.
 
pekua hizo nyaraka labda Kuna sehemu ameandika namba yasimu au email address au jina la ofisi anayofanyia kazi au physical address ya makazi nk.
Bahati mbaya hakuna sehemu yoyote ameweka contacts zake japo anaonekana ni mkazi wa Morogoro kwa mujibu wa kadi ya mpiga kura, nyaraka nyingine zote hazina contact yoyote ndiyo maana imekuwa vigumu kumpata.
 
Ok!! Mi namfaham NGOja niwacliane nae!!!
Rizzokissa ulifanikiwa kuwasiliana nae mpaka hivi sasa hizi documents anazo huyu staff anasema hajapata simu yoyote ya mtu akiulizia.
 
Nasikitika kwamba huyu Bwana Mussa mpaka hivi sasa hajawasiliana na mhusika aliyemuhifadhia vyeti vyake pamoja na nyaraka nyinginezo.Tafadhali popote alipo apige namba hii 0787840749
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom