Jidundufila Member Nov 2, 2010 86 11 Apr 1, 2012 #1 Napenda kuwapa taarifa kuwa siku ya wajinga imekwisha saa nne asbh. Hivyo naomba tuendelee na utaratibu wetu wa kawaida.
Napenda kuwapa taarifa kuwa siku ya wajinga imekwisha saa nne asbh. Hivyo naomba tuendelee na utaratibu wetu wa kawaida.
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,459 29,153 Apr 1, 2012 #2 Sure, Maana tunafuatilia updates za Arumeru mtu analeta utani!!
B BLB JF-Expert Member Nov 14, 2011 382 43 Apr 1, 2012 #3 thanx mkuu, mi nashukuru imepita nikiwa church,,