milinga godfrey
Member
- Aug 13, 2012
- 18
- 0
bodi ya mikopo imetangaza kuwaonea huruma wale ambao hawajapata mkopo kabisa kwa kuwapa pesa ya accomodation na stationary.wadau hivi ni kwel au wanatupa moyo tu
bodi ya mikopo imetangaza kuwaonea huruma wale ambao hawajapata mkopo kabisa kwa kuwapa pesa ya accomodation na stationary.wadau hivi ni kwel au wanatupa moyo tu
Waulize loansboard..
Ni kwa wale waliochagua programme zenye PRIORITY then wakawa hajapata mkopo
unauliza au unajibu km unajibu ni uongo maana wamesema 17% itakua kwa wale ambao wenye non priority programs
tena sio priority only but for those were not allocated loarns due to the failure of submitting incomplete application form