Tangazo hili ni kiboko aiseeeeeeeeeeeee

Tangazo hili ni kiboko aiseeeeeeeeeeeee

Info Boy

Member
Joined
Sep 9, 2013
Posts
33
Reaction score
6
JOB VACANCY..
Je, unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 600,000/= kwa mwezi.
2.Mda wa kazi kuingia saa 3 asubuhi hadi saa 10 jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa mwezi.
4.Siku za kazi jumatatu hadi ijumaa.
5.Usafiri na nyumba ya kuishi upo na buree.
Requirements..
1.Cheti cha form 4 na form 6 {CSEE & ACSEE}
2.Elimu ya chuo. {Diploma au Bachelor degree}.
3.Hakuna uzoefu unaohitajika.
4.Umri chini ya miaka 45.
Kama unahitaji hiyo kazi, basi usijali. Njoo ungana na mimi tuanze kuitafuta manake hata mimi
ninatafuta kazi hiyo.
Pata vichekesho zaidi hapa SWAHILI SMS
 
Back
Top Bottom