Tangazo gazetini

Edmund

Senior Member
Jul 17, 2009
123
62
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.

TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.

Wasalaam, wanaJamii Wote
 

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,609
1,737
NNNNZURI SANA KWA SABABU UTAPATA MWENGINE AS SOON UTAKOPOJULIKANA SINGLE...:smile-big:
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.

TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.

Wasalaam, wanaJamii Wote
 

Dena Amsi

R I P
Aug 17, 2010
13,082
4,226
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.

TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.

Wasalaam, wanaJamii Wote

Ingekuwa poa kweli lakini mmmhhh utasumbuliwa na waliokuwa wanakutamani
 

Ferds

JF-Expert Member
Oct 27, 2010
1,264
191
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.

TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.

Wasalaam, wanaJamii Wote


hii ingekuwa inaambatana na tangazo la kutafuta ngoma mpya attached ktk la kuachana ingekuwa mzuka mbaya
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom