Tangazo gazetini

Edmund

Senior Member
Jul 17, 2009
123
62
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.

TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.

Wasalaam, wanaJamii Wote
 
NNNNZURI SANA KWA SABABU UTAPATA MWENGINE AS SOON UTAKOPOJULIKANA SINGLE...:smile-big:
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.

TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.

Wasalaam, wanaJamii Wote
 
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.

TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.

Wasalaam, wanaJamii Wote

Ingekuwa poa kweli lakini mmmhhh utasumbuliwa na waliokuwa wanakutamani
 
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.

TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.

Wasalaam, wanaJamii Wote


hii ingekuwa inaambatana na tangazo la kutafuta ngoma mpya attached ktk la kuachana ingekuwa mzuka mbaya
 
Back
Top Bottom