Fundi Mgumu
Member
- May 7, 2022
- 92
- 53
Chai jaba watoto wa 2000 na hawawezi elewa
Wasalaam
Muziki au matangazo ya kibiashara ni vitu vinaweza kutukumbusha hazina ya muda na mambo mazuri tuliwahi kuwa nayo zamani
Binafsi siwezi kulisahau tangazo la dawa ya kuzibia pancha baiskeli..."Vipi Rambooo???...pancha banaa...pancha wakati kuna okoo..."...hapo niko pembeni ya mshua nafanya zoezi la hisabati tena vile vya maswali 40...
Wewe unakumbuka tangazo gani...na linakukumbusha ..."moment" gani nzurii
Kwenye kipindi cha majira, right?Nipeni nguo nifue komoaa inanukia vizuri komoaa haichubui mikono komoaa eee komoaa
Hii video inanichekeshaga sana huwa siichokiHawa wajinga walienda mwezini wamekula maharage hili tangazo huwa linanichekesha sana!.
Memories dahNipeni nguo nifue komoaa inanukia vizuri komoaa haichubui mikono komoaa eee komoaa
Kiwi dah long time aiseeeHebuuu jitokeeeze...! simaaama...! Jioneeeshe..! Mbele za watu uuuuu!!!
Daaaaaah, imekuwa muda sana.... A distant memory 🥱"Usione soo sema nae kuhusu kusubiri, kuwa muaminifu au kutumia condom"
tangazo la lotion ya amanda mwaka wa 1998 kipnd hcho redio one ilikuwa inatangaza yaan ilikuwa pw sana,alafu kuna tangazo moja hv la chombeza tme redio one saa 4 usiku ule mlio wa chombeza tme nimeumiss kweli mwenye ule mlio naomba anitumie tafazalin jja
Kenny G - Forever In Lovetangazo la lotion ya amanda mwaka wa 1998 kipnd hcho redio one ilikuwa inatangaza yaan ilikuwa pw sana,alafu kuna tangazo moja hv la chombeza tme redio one saa 4 usiku ule mlio wa chombeza tme nimeumiss kweli mwenye ule mlio naomba anitumie tafazalin jaman