Character X
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 331
- 382
Comrades salaam,
Nahuzunishwa sana ninaposikia hoja za Utanganyika,
Zina niudhi zaidi kwa unafiki wake, watu hawa hutumia pretex kwamba ATI wanatetea " maoni ya Wananchi" ilihali ndani mwake wamejaa njaa na kiu ya madaraka!
Watu hawa hawana soni, watu wa ajabu sana!
Nilidhani tungekuja na Hoja za kutaka sasa serikali MOJA!! Taifa MOJA!! la watu wa MOJA!
Lakini badala yake unasikia watu wakidai "Tanganyika yao"??
What Is Tanganyika??!??????
Watu hawa Wako tayari kuiharibu Nchi yetu hivihivi tu,.
Nasema tunaweza tukazungumza tu namna yakuujenga muungano imara zaidi lakini sikuubomoa!
Nchi yangu ni MOJA!! nchi yangu ni Tanzania, Tanganyika Siijui, sinahaja nayo.
siujui msimamo wa chama changu CHADEMA, lakini huo ndio msimamo wangu.
Comrades,
Nawashukuru.
Nahuzunishwa sana ninaposikia hoja za Utanganyika,
Zina niudhi zaidi kwa unafiki wake, watu hawa hutumia pretex kwamba ATI wanatetea " maoni ya Wananchi" ilihali ndani mwake wamejaa njaa na kiu ya madaraka!
Watu hawa hawana soni, watu wa ajabu sana!
Nilidhani tungekuja na Hoja za kutaka sasa serikali MOJA!! Taifa MOJA!! la watu wa MOJA!
Lakini badala yake unasikia watu wakidai "Tanganyika yao"??
What Is Tanganyika??!??????
Watu hawa Wako tayari kuiharibu Nchi yetu hivihivi tu,.
Nasema tunaweza tukazungumza tu namna yakuujenga muungano imara zaidi lakini sikuubomoa!
Nchi yangu ni MOJA!! nchi yangu ni Tanzania, Tanganyika Siijui, sinahaja nayo.
siujui msimamo wa chama changu CHADEMA, lakini huo ndio msimamo wangu.
Comrades,
Nawashukuru.