Sungurawembe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 414
- 55
Jamani kimya kumlinda huyo Boss anaweza temeshwa kibaruaNipo njiani yaani bossi leo kasema kazi ni nusu siku ili tukamsikilize raisi mtarajiwa EL
Jamani kimya kumlinda huyo Boss anaweza temeshwa kibaruaNipo njiani yaani bossi leo kasema kazi ni nusu siku ili tukamsikilize raisi mtarajiwa EL
Wewe ni nyundo moja tuu ya mwisho! Chali.
View attachment 293446
Jamani nielekezeni njia rahisi ya kufika Tanganyika packers, maana naona hii jam ya leo itanichelewesha kufika kwenye tukio, nimefikia hapa Magomeni Mapipa!
hujuwi kuwa anataka kwenda kumuona Rais lowassaUnaenda wapi huko wakati wwe si wa jmbo kawe? Ama wewe ndo umekodiwa kweda kuanguka kifafa!!
hivi kuzimia kwenye upuuzi wa kampeni ni ujiko enhee?
Ndivyo CCM wanavyosema. Ndio maana walidai eti wale wa Tanga walizimia makusudi... Indirectly, inaashiria kwamba mkutano umekuwa na WATU WENGI sana, hivyo wengine wamekosa hewa kupelekea kuzimia. Ni mwendelezo wa vituko kampeni za mwaka huu. Nasikia CCM wao waliamua kuwalipa watu ili 'wazimie' Dodoma, sijui kama ni kweli au si kweli.
Sitashangaa hata kidogo nikiambiwa ilikuwa kweli!
Baada ya Ccm kujitahidi kubeba watu na matrekta/Mafuso dodoma kwa nia ya kuwazimisha watu lakini walichemka.
Hata wale waliotolewa Dar na masaburi wakazime nao walishindwa zoezi hilo baada ya kumtoroka
Sasa leo ni zamu ya wana Dar es salaamu kuzimia kwa hiari kwenye viwanja vya Tanganyika pekaz kawe
Mpaka sasa watu wameanza kuja eneo la tukio wakimsubiri Lowassa na tema yake wapate tiba ya mabadiliko
Watu ni wengi na wote wanaimba wimbo wa mabadilko tu.
Kilichoniuma ni hili gofu,hapo kungekuwa na kiwandacha nyama,na watu wangekuwa wanapiga mzigo ila kutokana na kuwa na watu bongolala kama waziri mkuu Sumaye na Lowasa wasio na vision ndo leo malofa mmekaa juu ya gofu ambalo kutokana na ujinga wa hao mliokwenda kuwashangilia
Kilichoniuma ni hili gofu,hapo kungekuwa na kiwandacha nyama,na watu wangekuwa wanapiga mzigo ila kutokana na kuwa na watu bongolala kama waziri mkuu Sumaye na Lowasa wasio na vision ndo leo malofa mmekaa juu ya gofu ambalo kutokana na ujinga wa hao mliokwenda kuwashangilia
Kibo10, hakuna update? huku bombambili tuna hamu ya kuona campaign sehemu ya pili inavyoanzishwa, #TorokaujeBaada ya Ccm kujitahidi kubeba watu na matrekta/Mafuso dodoma kwa nia ya kuwazimisha watu lakini walichemka.
Hata wale waliotolewa Dar na masaburi wakazime nao walishindwa zoezi hilo baada ya kumtoroka
Sasa leo ni zamu ya wana Dar es salaamu kuzimia kwa hiari kwenye viwanja vya Tanganyika pekaz kawe
Mpaka sasa watu wameanza kuja eneo la tukio wakimsubiri Lowassa na tema yake wapate tiba ya mabadiliko
Watu ni wengi na wote wanaimba wimbo wa mabadilko tu.
Baada ya Ccm kujitahidi kubeba watu na matrekta/Mafuso dodoma kwa nia ya kuwazimisha watu lakini walichemka.
Hata wale waliotolewa Dar na masaburi wakazime nao walishindwa zoezi hilo baada ya kumtoroka
Sasa leo ni zamu ya wana Dar es salaamu kuzimia kwa hiari kwenye viwanja vya Tanganyika pekaz kawe
Mpaka sasa watu wameanza kuja eneo la tukio wakimsubiri Lowassa na tema yake wapate tiba ya mabadiliko
Watu ni wengi na wote wanaimba wimbo wa mabadilko tu.