chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,661
Haya ni maoni yangu
Lile zimwi la Tanganyika kuonekana "inaionea" Zanzibar sasa inapata sura mpya,ni wazi kwamba lipumba anatumika na Taasisi za Tanganyika ili kukandamiza Zanzibar
nasema Tanganyika kwa kuwa Taasisi za Tanganyika ndizo zinatumika kuikandamiza CUF kwa kuwa tu ina mizizi thabiti Zanzibar.
Taasisi zinazoonekana kutumika ni Ofisi ya Msajili wa Vyama ambayo tangu ianzishwe haijawahi kuongozwa na mzanzibari achilia mbali hata kuwa na Msaidizi wa msajili kutoka Zanzibar
Taasisi nyingine zinazotumika ni mahakama,mahakama kwa makusudi wameamua kuzichelewesha kwa makusudi kesi zinazohusu chama hicho japo mahakama ina majaji wengi na muda wa kutosha
Bunge la jamhuri ya muungano limeacha kazi ya kuisimamia serikali na kuwa mshirika wa serikali katika kuikandamiza Zanzibar,ikumbukwe spika na naibu wake wote ni watanganyika
Pia ofisi ya RITA ni taasisi ya Tanganyika isiyo na ushiriki wa Zanzibar lakini inataka kuamua mambo yanayoathiri taasisi zinazovuka chumbe
Hii hali inaibua hisia Kali za kitaifa na utaifa wa wazanzibar,wazanzibari wanaikumbuka Zanzibar yao,laiti wangekuwa huru wasingekuwa wananyanyasika hivi kwa makucha ya taasisi hizi
Kuna visiwa vidogo kama Comoro,wanaishi raha mustarehe hawajachomwa na kucha za nchi yeyote
Zanzibar imeanza kupata ustaarabu na kujitawala wakati Tanganyika ni mapori tu,hawajui lolote
Zanzibar imeanza kupokea wageni wa kimataifa miaka na miaka,na imejitawala muda mrefu
Zanzibar ilikuwa dubai kwa karne na karne,leo inapondwa pondwa,wazanzibari sasa inabidi waisimamie Zanzibar kabla Zanzibar haijawa dhoofu sana kuwatetea wazanzibari
Lile zimwi la Tanganyika kuonekana "inaionea" Zanzibar sasa inapata sura mpya,ni wazi kwamba lipumba anatumika na Taasisi za Tanganyika ili kukandamiza Zanzibar
nasema Tanganyika kwa kuwa Taasisi za Tanganyika ndizo zinatumika kuikandamiza CUF kwa kuwa tu ina mizizi thabiti Zanzibar.
Taasisi zinazoonekana kutumika ni Ofisi ya Msajili wa Vyama ambayo tangu ianzishwe haijawahi kuongozwa na mzanzibari achilia mbali hata kuwa na Msaidizi wa msajili kutoka Zanzibar
Taasisi nyingine zinazotumika ni mahakama,mahakama kwa makusudi wameamua kuzichelewesha kwa makusudi kesi zinazohusu chama hicho japo mahakama ina majaji wengi na muda wa kutosha
Bunge la jamhuri ya muungano limeacha kazi ya kuisimamia serikali na kuwa mshirika wa serikali katika kuikandamiza Zanzibar,ikumbukwe spika na naibu wake wote ni watanganyika
Pia ofisi ya RITA ni taasisi ya Tanganyika isiyo na ushiriki wa Zanzibar lakini inataka kuamua mambo yanayoathiri taasisi zinazovuka chumbe
Hii hali inaibua hisia Kali za kitaifa na utaifa wa wazanzibar,wazanzibari wanaikumbuka Zanzibar yao,laiti wangekuwa huru wasingekuwa wananyanyasika hivi kwa makucha ya taasisi hizi
Kuna visiwa vidogo kama Comoro,wanaishi raha mustarehe hawajachomwa na kucha za nchi yeyote
Zanzibar imeanza kupata ustaarabu na kujitawala wakati Tanganyika ni mapori tu,hawajui lolote
Zanzibar imeanza kupokea wageni wa kimataifa miaka na miaka,na imejitawala muda mrefu
Zanzibar ilikuwa dubai kwa karne na karne,leo inapondwa pondwa,wazanzibari sasa inabidi waisimamie Zanzibar kabla Zanzibar haijawa dhoofu sana kuwatetea wazanzibari